Nadhani mleta mada anamaanisha jinsi neno TOYOTA lilivyofuatiwa na neno SECURITY na kuonekana kama ni jina la kampuni ya ulinzi iitwayo TOYOTA SECURITY. Ingependeza zaidi mleta mada wakati anaweka picha angeweka na maelezo yanayojitosheleza ili kueleweka kwa wote.
Nadhani mleta mada anamaanisha jinsi neno TOYOTA lilivyofuatiwa na neno SECURITY na kuonekana kama ni jina la kampuni ya ulinzi iitwayo TOYOTA SECURITY. Ingependeza zaidi mleta mada wakati anaweka picha angeweka na maelezo ili kueleweka kwa wote.
Mleta mada alipoona hilo gari alistuka akidhani kampuni ya Toyota iliyo Japan imekuja kuwekeza kwenye sekta ya ulinzi yenye jina Toyota security, hivyo akasema umakini unahitajika kidogo kujua ni vitu viwili tofauti....