Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Akili wakati flani inakuwa na Muunganiko wa mambo mengi sana. Busara na Hekima ni kama huingia kiasi flani katika akili.
Uamuzi sahihi wa kufanya jambo sahihi na kwa wakati sahihi. Nyanya ni tunda.lakini sidhani kama umewahi ona limechanganywa kwenye fruits salad. Sasa ukiona mtu amekata kata nyanya akachanganya na ndizi na tikiti maji akakuletea kuwa ni fruits salad basi utagundua ana tatizo kubwa kiakili.
Nlishangaa siku namwona nape anatembea huku amevaa viatu juu ya viuno na migongo ya akina mama wapuuzi wa huko jimboni mwake.
Angekuwa na akili au busara angegoma na kusema hapana.siwezi kufanya hivyo maana nawaheshimu saba ninyi dada,shangazi na mama zangu.si vyema hata kidogo.
Lakini kwa kiwango kikubwa cha ujuha alicho nacho hakuweza kupembua madhara ya kitendo kile.na wale wanawake wapumbavu ingetokea mimi ni mkazi wa eneo hilo na mke wangu amefanya kitendo hicho. Ngemtwanga talaka tano hapo hapo.
Ngegundua nmeoa mwanamke mpumbavu kabisa asiyefaa.hana akili na hajiheshimu. Watu hili hawakutaka kuliona. Walimwona kama shujaa wao na mtu anayewafaa." Nape hakuwahi kuwa na akili na hatoanza sasa"
Uamuzi sahihi wa kufanya jambo sahihi na kwa wakati sahihi. Nyanya ni tunda.lakini sidhani kama umewahi ona limechanganywa kwenye fruits salad. Sasa ukiona mtu amekata kata nyanya akachanganya na ndizi na tikiti maji akakuletea kuwa ni fruits salad basi utagundua ana tatizo kubwa kiakili.
Nlishangaa siku namwona nape anatembea huku amevaa viatu juu ya viuno na migongo ya akina mama wapuuzi wa huko jimboni mwake.
Angekuwa na akili au busara angegoma na kusema hapana.siwezi kufanya hivyo maana nawaheshimu saba ninyi dada,shangazi na mama zangu.si vyema hata kidogo.
Lakini kwa kiwango kikubwa cha ujuha alicho nacho hakuweza kupembua madhara ya kitendo kile.na wale wanawake wapumbavu ingetokea mimi ni mkazi wa eneo hilo na mke wangu amefanya kitendo hicho. Ngemtwanga talaka tano hapo hapo.
Ngegundua nmeoa mwanamke mpumbavu kabisa asiyefaa.hana akili na hajiheshimu. Watu hili hawakutaka kuliona. Walimwona kama shujaa wao na mtu anayewafaa." Nape hakuwahi kuwa na akili na hatoanza sasa"