PICHA: Salute kwako Msigwa, Iringa inarindima

PICHA: Salute kwako Msigwa, Iringa inarindima

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Jamaa wanamuelewa sana Iringa. Mwaka wa Mabadiliko
 

Attachments

  • 1441771743425.jpg
    1441771743425.jpg
    26.2 KB · Views: 1,082
  • 1441771757857.jpg
    1441771757857.jpg
    24.6 KB · Views: 960
  • 1441771771713.jpg
    1441771771713.jpg
    19 KB · Views: 936
  • 1441771782427.jpg
    1441771782427.jpg
    25.2 KB · Views: 919
Daah huyu jamaa ni noma hata uchukue wabunge 300 wa ccm hawawezi kufikia hata robo ya uwezo wa msigwa
 
pamoja na mwakale bela kusomba watu. Na kuwajaza uwanjani ili aonekane anakubalika. Lakini wananchi wana mwamini mbunge wao kamanda msigwa. Bg up kamanda msigwa wadhiieishie wana iringa wewe ni msemaji wao na sio maccm wagonga meza na kusema ndiyoooooooooooooooooo.
 
anakwambia "problem cannot be solved by the same level of thinking that created them" ha ha ha ha... anaendelea "you guys you are tired" ha ha ha

Peter Msigwa go go go .........


Peoooooopleeeeeeee........
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli nimepita Iringa jana..... Mwaka.....akae vema.... Lakini ndio fursa zenyewe.
 
Jaman Ukawa mnatumia dawa gani ya mvuto? Sio mgombea ubunge wala El anakosa nyomi. Taratibu jamani.
 
Hii ilikuwa ni siku ile anatangaza kuwa anagombea tena, uzinduzi rasmi wa kampeni utafanyika tarehe 12 pale mwembetogwa.
 
Back
Top Bottom