Picha: Pose mbali mbali za best loosers

Teh teh teh teh. Hawa kweli ni best looser..
 
ile ziara ya Kinana na Nape kanda ya ziwa ilikuwa na majibu haya.
 
Ugonjwa wa Lowassa umeisha ghafla? Siasa noma sana.
 
hiyo picha ya pili ndo yenyewe hahahaha
 
Unafiki wa kisiasa, ni wachache sana wanauweza, na wengine wanalazimishwa tu.
 
Tunaweza tukawa tunafanya utani kumbe watu ni wagonjwa jamani. Wenzangu hiyo facial expression ya picha hiyo ya kwanza mnaionaje!
 
Hii ni kwa Africa tu pale mahasimu wanapoweza kusalimiana na kushikana mikono huku wakitabasamu. Ulaya hata protokali za jinsi ya kukaa mnatengwa mbali kabisa. Kweli waafrika tuna asili yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…