Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,451
- 4,655
Kaka maisha ni kupanda na kushuka. Na wakati mwingine mipango ya mtu huenda tofauti na vile alivyopanga. Nyumba yangu naiuza siyo kwa kupenda bari ni shida tu. Nahitaji kiasi fulani cha pesa haraka. Na hii siyo nyumba ya urithi. Hii ni nyumba ambayo nimejenga mimi na mke wangu na leo kwa pamoja tumeamua kuuza. Atakaye afiki kutoa hiyo milion 22 hata kesho tu namuuzia nyumba na atanikumbuka naamini. 0715553166
Acheni usanii Bandugu. Hii number nilipga mpokeaji mwanaueme anadai nyumba ni ya ndugu yake ndiye anaeuza. nimeipiga mara ya pili amepokea mwanamke na kudai mwene simu kaacha simucharge ni dada mtu.nikauliza kama kuna nyumba inauzwa nikajibiwa ndio na ni ya ndugu mwenye number hiyo hapo juu. nikaomba number ya mwenye nyumba nikaambiasiwzi kupata.
Hii hii nyumba imebandikwa instagram na dalalikingozi kwa bei ya 30milion
grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr