katuni
Senior Member
- Dec 8, 2012
- 151
- 77
Nyumba ipo Kivule mwisho ( Gongo la mboto jijini Dar es salaam ).
Nyumba ina sieating room,
dinning room,
choo ndani,
na jiko
.Pia ina vyumba vitatu vya kulala ambapo kimoja ni master room.
( ZINGATIA ) Nyumba hii bado ujenzi haijaisha hivyo inauzwa kama ilivyo. Madirisha yote yameshawekwa. Milango mikuu yote tayari imeshawekwa mageti. Choo cha public tayari kipo na sink. Makalo ya maji taka yapo na yameshakamilika. Baadhi ya milango ya ndani tayari imeshawekwa fremu mingine bado.
Hakuna shida ya maji
Gari linafika hadi nyumba ilipo pasipo shida yoyote
Umeme haupo mbali kabisa
Bei ni Milion 22 ( maongezi yapo )
Kwa aliye-interested tuwasiliane 0715553166
Nyumba ina sieating room,
dinning room,
choo ndani,
na jiko
.Pia ina vyumba vitatu vya kulala ambapo kimoja ni master room.
( ZINGATIA ) Nyumba hii bado ujenzi haijaisha hivyo inauzwa kama ilivyo. Madirisha yote yameshawekwa. Milango mikuu yote tayari imeshawekwa mageti. Choo cha public tayari kipo na sink. Makalo ya maji taka yapo na yameshakamilika. Baadhi ya milango ya ndani tayari imeshawekwa fremu mingine bado.
Hakuna shida ya maji
Gari linafika hadi nyumba ilipo pasipo shida yoyote
Umeme haupo mbali kabisa
Bei ni Milion 22 ( maongezi yapo )
Kwa aliye-interested tuwasiliane 0715553166