PICHA: Nyumba hii inauzwa

PICHA: Nyumba hii inauzwa

katuni

Senior Member
Joined
Dec 8, 2012
Posts
151
Reaction score
77
Nyumba ipo Kivule mwisho ( Gongo la mboto jijini Dar es salaam ).
Nyumba ina sieating room,
dinning room,
choo ndani,
na jiko

.Pia ina vyumba vitatu vya kulala ambapo kimoja ni master room.
1606394_360826484070347_8533907544381915274_o.jpg

( ZINGATIA ) Nyumba hii bado ujenzi haijaisha hivyo inauzwa kama ilivyo. Madirisha yote yameshawekwa. Milango mikuu yote tayari imeshawekwa mageti. Choo cha public tayari kipo na sink. Makalo ya maji taka yapo na yameshakamilika. Baadhi ya milango ya ndani tayari imeshawekwa fremu mingine bado.

Hakuna shida ya maji
Gari linafika hadi nyumba ilipo pasipo shida yoyote
Umeme haupo mbali kabisa

Bei ni Milion 22 ( maongezi yapo )

Kwa aliye-interested tuwasiliane 0715553166
 
Nyumba ipo Kivule mwisho ( Gongo la mboto jijini Dar es salaam ).
Nyumba ina sieating room,
dinning room,
choo ndani,
na jiko

.Pia ina vyumba vitatu vya kulala ambapo kimoja ni master room.
1606394_360826484070347_8533907544381915274_o.jpg

( ZINGATIA ) Nyumba hii bado ujenzi haijaisha hivyo inauzwa kama ilivyo. Madirisha yote yameshawekwa. Milango mikuu yote tayari imeshawekwa mageti. Choo cha public tayari kipo na sink. Makalo ya maji taka yapo na yameshakamilika. Baadhi ya milango ya ndani tayari imeshawekwa fremu mingine bado.

Hakuna shida ya maji
Gari linafika hadi nyumba ilipo pasipo shida yoyote
Umeme haupo mbali kabisa

Bei ni Milion 22 ( maongezi yapo )

Kwa aliye-interested tuwasiliane 0715553166

Picha haionekani mkuu
 
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala ambapo kimoja kati ya hivyo ni master room. Pia nyumba ina
seating room
dinning room
choo
na jiko
1606394_360826484070347_8533907544381915274_o.jpg

10515239_360826490737013_55362040138706646_o.jpg

10557760_360827367403592_4380606652481925387_o.jpg

10628817_360826487403680_6459898587405204590_o.jpg

10603833_360827370736925_1336970994645323708_o.jpg

ZINGATIA
Nyumba hii bado haijamariza ujenzi. Bado umaliziaji tu. Makalo ya maji taka yamekamilika. Choo cha public tayari kipo na Sink. Bati ni za rangi ya blue zimeshawekwa. Milango mikuu yote imeshawekwa mageti. Baadhi ya milango ya ndani tayari imeshawekwa fremu.

Upatikanaji wa maji ni wa uhakika
Umeme haupo mbali kabisa
Gari inafika hadi ilipo nyumba pasipo shida yoyote.

Nyumba ipo Kivule ( Gongo la mboto )

Bei Milion 22 ( maongezi yapo )
Kwa aliyeinterested tuwasiliane kwa 0715553166
 
Kuwa specific, ni kivule au gongolamboto? Taja eneo halisi nyumba ilipo na ikiwa haina mgogoro wowote au ikiwa haipitiwi na mradi wowote wa serikali.

Nyumba ipo Kivule. Unapanda gari liendalo Gongo la mboto then unashuka kituo kiitwacho Banana. Hapo Banana utakuta daradara zinakwenda kivule na utashuka mwisho wa gari yaani Kivule ccm. Baada ya hapo ni hatua kadhaa tu umefika kwenye nyumba. Nyumba haina mgogoro wowote. Na hakuna mladi wowote wa serikali unaopita. Ondoa hofu kabisa. Tuwasiliane hapa 0715553166
 
duh, nina hofu na hiyo bei, naona kama ipo chini sana, ukiangalia nyumba na bei nahisi harufu fulani hivi....nawatakia mema wanunuaji. sijui lakini.
 
Nyumba ipo Kivule. Unapanda gari liendalo Gongo la mboto then unashuka kituo kiitwacho Banana. Hapo Banana utakuta daradara zinakwenda kivule na utashuka mwisho wa gari yaani Kivule ccm. Baada ya hapo ni hatua kadhaa tu umefika kwenye nyumba. Nyumba haina mgogoro wowote. Na hakuna mladi wowote wa serikali unaopita. Ondoa hofu kabisa. Tuwasiliane hapa 0715553166

Mkuu weka na ukubwa wa eneo la hilo nyumba..hiyo bei na hayo maeneo naona ni reasonable
 
Mkuu hata mimi nina doubt.Lakini ni vyema mnunuaji uende mahakamani.

Ruhsa kabisa hata kwenda huko mahakamani. Na kuandikishiana ruhsa kabisa maana nyumba haina shida/ mgogoro wowote.
 
duh pana shaka hila kama una milioni 20 cash unaweza jenga mbaka kiwango hiki waungwana maana hapo ghalama kubwa ni kiwanja na kenchi labda na hiyo milango ya chuma basi
 
haina issue ya mirathi kweli maana sijui kwa nini nimeona huruma kwa huyo dada na huyo dodo halafu hiyo bei sasa mbona siyo?
 
haina issue ya mirathi kweli maana sijui kwa nini nimeona huruma kwa huyo dada na huyo dodo halafu hiyo bei sasa mbona siyo?

Kaka maisha ni kupanda na kushuka. Na wakati mwingine mipango ya mtu huenda tofauti na vile alivyopanga. Nyumba yangu naiuza siyo kwa kupenda bari ni shida tu. Nahitaji kiasi fulani cha pesa haraka. Na hii siyo nyumba ya urithi. Hii ni nyumba ambayo nimejenga mimi na mke wangu na leo kwa pamoja tumeamua kuuza. Atakaye afiki kutoa hiyo milion 22 hata kesho tu namuuzia nyumba na atanikumbuka naamini. 0715553166
 
Kaka maisha ni kupanda na kushuka. Na wakati mwingine mipango ya mtu huenda tofauti na vile alivyopanga. Nyumba yangu naiuza siyo kwa kupenda bari ni shida tu. Nahitaji kiasi fulani cha pesa haraka. Na hii siyo nyumba ya urithi. Hii ni nyumba ambayo nimejenga mimi na mke wangu na leo kwa pamoja tumeamua kuuza. Atakaye afiki kutoa hiyo milion 22 hata kesho tu namuuzia nyumba na atanikumbuka naamini. 0715553166

nina 18 million and I can pay for this huse kesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom