Picha: Ningeshangaa sana mmatumbi kukosekana kati ya wale hit squad waliotumwa na MBS kumuua Khashoggi

Hope he will rot while dying.....
 
Nita watetea ndugu zangu Watanzania kwa kweli ni uwongo hatuna huo ukatili kabisa walahi
Ipende nchi yako kijana mdogo, jifunze kuinenea mambo mema ili upate baraka zake walahi
Na iwe kama ulivyo nena kwa watesi wa Khashogi walahi
Wewe ni huyu huyu ISIS ambae anashangilia kila siku Tundu Lissu kunyunyuziwa risasi 30+?

Leo hii unasema Watanzania sio makatili wakati wewe ndio mungu wao wa ukatili mdogo wake shetani!!
 
Hizi dini zetu tuziangalie sana. Yesu alisema mtawatambua kwa Matendo yao. Hivi Saudia si ni nchi ya kidini .Sasa inakuwaje wanamuua mtu ambaye anadai uhuru tu wa waandishi wa habari. Upendo uko wapi.Ndugu zetu achene ukatili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…