Ukihitaji msaada na umeweka picha kama hivi madaktari walio JF ni rahisi kujua hata wakakupa ABC kuliko ungeandika kwa maneno tuu, sijaona kama umekosea as long as umeweka kwenye jukwaa sahihi la afya. Ushauri wangu nenda hospitali ukachunguzwe na mtaalamu humu wapo madokta ila utakutana na wasio madokta wenye stress kwanza wakutukane wewe.