Picha:Mourinho akiondoka London leo to Manchester huku Van Gaal akiondoka Manchester leo jioni!

Wonderful

JF-Expert Member
Apr 8, 2015
7,347
5,986
3488E25700000578-0-image-a-68_1464016222180.jpg
348946DF00000578-3604976-image-a-52_1464018875463.jpg
34881EB500000578-0-image-a-32_1464012304919.jpg
3489784F00000578-3604582-image-a-3_1464020564112.jpg
 
Sasa huyu mdachi atakwenda wapi? Labda Arsenal teh teh teh!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tutashuhudia Manchester United ikipaki tractor kuliko Atletico ya Madrid sasa.


bora naunga mkono hoja bek smaling timu ilishika nafas ya pili kwa kutoruhus magoli mengi akija na jose si yatakuwa 6 or 10
 
Kwa straika Rashford na kikongwe Rooney ?


mkuu hao wawili usiwadharau kuna baadhi ya timu wamezichanachana rashid kuna baadhi ya timu katupia had mawili chakufurahisha msimu huu wameambulia japo kakombe ka kunywea maji wenzetu wametoka mikono mitupu iyo inatwa asanteni kwa kuja thanks for coming..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom