Picha: Mh. Joseph mbilinyi (Sugu) alipofanya mkutano wa hadhara Uyole ya kati - Mbeya

Kiganyi

JF-Expert Member
Apr 30, 2012
1,242
765

Mh. Mbunge Sugu akiwasili katika eneo la mkutano..

Mbunge Joseph Mbilinyi akiwahutubia wananchi..

Wananchi wa Uyole kati Mbeya wakimsikiliza Mbunge wao

Baadhi ya wananchi wakisikiliza mkutano wa Mbunge wao Joseph Mbilinyi

Mbunge akiagana na wananchi baada ya kumaliza mkutano wake...

Mh. Mbunge alipata fursa ya kula chakula na makamanda wa Uyole - Mbeya​

 
Chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
 
Hivi ndivyo mbunge anatakiwa awe,ni kuwa karibu na wapiga kura,sio kama wengine wanaoogopa kufika hata mjimboni kwao,
CDM for LIFE.
 
Na mbeya waigawanye majimbo yawe mawili hili jimbo kubwa sana kwa mweshimiwa sugu peke ake, afu cdm tutayachukua yotee
 
CHADEMA BABA LAO. CCM WATAISHIA KUPEPESA MACHO. JIIMARISHE PIA IMARISHA CDM YETU BABA TUKO NYUMA YAKO TUTAKUUNGA MKONO DAIMA. TUMECHOKA DHULUMA ZA CCM NA MAFISADi
 
No CHADEMA no LIFE in TANZANIA. Swallow a pit although it is bitter!
 
Safi sana kamanda Sugu maana unaonesha ni jinsi gani ulivyo karibu na wananchi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…