PICHA; Maelfu Wajitokeza kumpokea Mbwana Makatta-Lubumbashi; kwanini kavaa Kandambili???

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797


Viongozi wa TP Mazembe, na Tajiri wao Wakimsubiri Mbwana Makatta kuwasili Uwanjani, Uwanja Umejaa haswa...



Tajiri wa TP Mazembe Moise Katumbi Chapwe aikimuta Samatta kumtambulisha rasmi kwa Viongozi na Mashabiki wa Timu Hiyo. Samatta amenunuliwa na TP Mazembe kwa Dola $ 100,000 toka Simba. AJABU KWELI SAMATTA KAVAA KANDAMBILI OH MTANZANIA!!!



Mbwana Makatta akiwasili Uwanjani huko Lumbumbashi.
 
Bichwa litamjaa ajione staa ashindwe ku perform
huo ndiyo utamaduni wa mastaa wa kitanzania.
 
yuko poa tu bwana,angevaa Messi tungesifia kweli ila kama kawa Mbwana tunakhandia
 

Hivi ni Mbwana Makatta au Mbwana Samatta?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…