Loawassaaaaaaaaaaaaaa.Japo kuna mtu kajifariji leo kwa kusema kuwa eti ukawa itageuka ukiwa oct 25.Najua anatetemeka kuhusu ule msala wake wa kontena za pembe kwa sababu Sum Aye kaanza kumchoresha kila kona.Naona leo kaongea kwa jazba anaona safari ya moghadishu inamnyemelea ma n ni naa.