#4
Marehemu kabaki nakipande cha nguo cha muaji.
...easy sana wala haiitaji undercover..
Wanafaidika nini kwa kuwashikilia?Haaaa mkuu ile ni mbinu ya kiintelegesia ya kuendelea kuwashikilia lakini hamna kesi pale wanashikiliwa hivyo ili umri wao nao usogee



Kidogo umejitahidiNi namba 3 kwasababu zifuatazo
Kwanza ni msichana so aneza kuingia kwenye choo chak kike kama ilivyo alama kwenye mlango chooni
Pili Walikuwa wako kama wawili mana kiti ambacho kiko mbele yake kinaonesha kilikuwa na mtu mana kitu ambacho hakina mtu huwa kina ingizwa ndan ya meza
Tatu twasira yake ukiangalia kwa makin kuna hal ya kutokuangalia kama hayuko na amani
Kwanini?Muuaji ni namba 4
post no 4, mjerumani kakufafanuliaKwanini?
Polisi hadi Leo wanahangaika Na uchunguzi wa masheikh wa uamsho Zanzibar, mwaka wa tano upelelezi haujakamilika




