Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

CDM hawawezi siasa safi hata siku moja.
Ukiona hiyo video kuna mtu anamwambia mwenzake rekodi rekodi....
Afu anaerekodi anawaambia imba imba.
Na yupo mhamasishaji hapo mara nani kaolewa..... nani sijui bla bla.
CDM hii nchi hamtaichukua maana siasa zenu si nzuri kabisa

Halafu mvuta bange wa Arusha Lema ndio anaipigia debe hiyo video ya mataahira ya Bavicha
 
Halafu mvuta bange wa Arusha Lema ndio anaipigia debe hiyo video ya mataahira ya Bavicha

CDM wamechanganyikiwa hadi wanaambia watu warekodi ili tu waweke youtube. Hawaoni aibu kuwa hiyo video haijarekodiwa kwenye mkutano au hata uwanja wa mkendo.
Siku watu wakijielewa hakika mtapoteza kila mbunge wenu
 
Nimeiona hiyo iliyowekwa na Exaud Mtei
Sasa wewe tueleze yako ni ipi kama si hiyo

Pole sana kama haujui kuna video mbili moja ni siku ya mkutano wa CHADEMA wananchi baada ya mkutano wa mnyika walifanya maandamano huku wakimuimba zitto msaliti hii ndo umeiona,na ya pili ni siku zitto akuhutubia alizomewa hii nayo nitaiweka hapa.
 
Pole sana kama haujui kuna video mbili moja ni siku ya mkutano wa CHADEMA wananchi baada ya mkutano wa mnyika walifanya maandamano huku wakimuimba zitto msaliti hii ndo umeiona,na ya pili ni siku zitto akuhutubia alizomewa hii nayo nitaiweka hapa.

Iweke mkuu Wajionee wenyewe!! Matomaso.
 
hiyo mbona tumeangalia kwenye hall la chuo tulikuwa watu elfu moja na miambili tumecheka sana kila mtu kapewa copy na tumesambaza kwenye simu
 
Musoma wanahitaji mabadiliko ili waweze kutoka hapo walipo kwani mji upo nyuma kimaendeleo na yanakuja pole pole.Sitegemei kama kwa Mh Vicent Nyerere kama ubunge ni kazi ya kudumu aweze kurudi tena kuwaongoza.
 
Mimi sina ugomvi na Zitto wala ACT Cahama . Lakini mimi nimena video watu wakizomea na kusema Zitto latukana na wanatawanyika. Video zipo nasikia na kuona watu wanaishia mengine nawaachia walio kuwepo . Tafuta video au omba msaada wa video wataweka hapa .

Ile nimeion, video ya vijana wachache wanaonekana kabisa walikuwa wametengenezwa kufanya shooting kama bongo movie.

Na ukiiangalia ile video wamekwepesha sana kuonyesha eneo la mkutano, wanaonyeshea pembeni kwa sababu hawakutaka uone kuwa watu walikuwa wapo busy wanafuatilia mkutano na kuwapuuza vijana wachache na vijana wabodaboda waliokuwa wamekodishwa kwenda uwanjani kufanya fujo.

Ndio maana hawawezi kukuonyesha video na ukaona jukwaani.Tatizo siasa zetu sasa watu wanageuza kuwa maigizo.
 
Na huna ushahidi ata wa picha?magari zaidi ya 30 yakimzunguka ZItto kumlinda?kweli Chadema sasa imebaki kuwa chama cha uongo na propaganda.

Hebu soma vizuri wewe...

Zitto alivyo ona hali inazidi kuwa ngumu aliweza kushuka chini nakupewa Ulinzi na mabaunsa aliokuja nao katika msafara wake zaidi ya 30 wenye mwili mkubwa na huku wananchi wakizidi kusema huenda akakosa hata ubunge katika uchaguzi ujao.
 
Tuweke siasa kando, hiyo video iko moja tu huko youtube na haijaonesha Zitto. Bali ni wafuasi wa CDM wakikimbia na kuzomea

hapa jf mods wanaitoa,ingia youtube andika zitto akizomewa musoma mjini utaiona
 
CDM wamechanganyikiwa hadi wanaambia watu warekodi ili tu waweke youtube. Hawaoni aibu kuwa hiyo video haijarekodiwa kwenye mkutano au hata uwanja wa mkendo.
Siku watu wakijielewa hakika mtapoteza kila mbunge wenu

ingia youtube andika zitto akizomewa musoma mjini utaiona
 
Back
Top Bottom