Picha kutofunguka

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Wadau naombe ni kujua, simu yangu ninapofungua jf ili kuona picha kinachokuja ni hiki hapa kwenye picha, nime uninstall na ku install lakini wapi, tazizo liko pale pale, je nifanyeje?
 
jf app ni kama nyumba iliyohamwa na unaofahamu walikuwa wakikaa humo.

umeenda umekaa nje unasubiri watakukuta unashangaa masaa yanaenda tu.

hawaipi support tena wamehamia jf web,huku ni swala la muda tu,itaanza kukataa hata kufunguka.
tuko huku sababu ni rahisi kuitumia na ina mvuto ukilinganisha na interface ya web.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…