Picha: Jussa akiongea na wana-DMV

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803



Mhe. Jussa akiongea na wanaDMV

Katibu wa CHADEMA DMV Liberatus Mwang'ombe akiongea kusisitiza jambo

Aliyekuwa makamu wa Rais DMV Bwn. Ray Abraham akiuliza swali.

Meza kuuu

Katibu mwenezi na Itoikadi CCM DMV akiuliza swali

Bishop Martulu akiongea jambo. Picha na Tito Mazali






Watanzania waishio DMV(Washington DC, Maryland na Virginia) wakimsikiliza Mh Ismail Jussa alipohutubia katika mkutano uliondaliwa na Muungano wa Vyama vya CUF na CHADEMA Marekani.


Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.


Video Maswali



[video=youtube_share;5A2E74BBYsI]http://youtu.be/5A2E74BBYsI[/video]



[video=youtube_share;eeLXn2f3DIQ]http://youtu.be/eeLXn2f3DIQ[/video]



[video=youtube_share;lPRCrBNaZzI]http://youtu.be/lPRCrBNaZzI?list=UUpaIU9z_7K1N hDnkJRy_1AQ[/video]




















at 9:47 AM No comments: Vijimambo/SwahiliVilla
 
DMV ndio nini? :eyebrows:
 

huyu sio yule wa kwenye michezo ya kaole?
 
ndio mwenyewe, muda mrefu sasa anaishi huko wanakoita DMV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…