Picha: Jembe limechukuliwa CCM

Hahahahaaha......enzi ya chama kimoja wagombea walikuwa wakihusudu sana jembe. Maana kuipata tu hiyo alama tayari 50% unayo. Sasa leo wamegawana, huyu nyundo yule jembe....
 
Hahahaa tumechukua jembe tukachimbie kaburi,
 
aisee wamechukua jembe washenzi sana hawa

View attachment 272149

jembe tumechukua kuchimbia kaburi,,,,,,nyundo tutaifata baadae kugongea misumari ya jeneza ili shughuli ya mazishi👊👊👊👊👊👈👈👈👈👈👈👈👈👈👈
 
Na hiyo nyundo yenyewe tunaivizia hahahahaha.....wakilala tu tunaikwapua
 
cjui cku pombe akimalizia sentence ya "Nitailinda,nitaitunza na kuitumikia jamhuri ya muungano wa Tanzania,Ee mwenyezi mungu nisaidieni"Akimalizia sentensi hivyo cjui him NDANI utakuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…