G Godwine JF-Expert Member Jan 15, 2010 1,371 281 Jun 28, 2011 #141 napita tuu ila hoja no 4 ya @NYC,USA kwa bilal imeshatatuliwa kwani uchakachuaji umeisha bei ya petrol,dizeli na mafuta ya taa zitakuwa zinakalibiana kutokana na kodi mpya kwenye mafuta ya taa.
napita tuu ila hoja no 4 ya @NYC,USA kwa bilal imeshatatuliwa kwani uchakachuaji umeisha bei ya petrol,dizeli na mafuta ya taa zitakuwa zinakalibiana kutokana na kodi mpya kwenye mafuta ya taa.