Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,775 Reaction score 50,867 Dec 11, 2021 #1 Kuna picha ukizitama zinahubiri hata bila kuzungumza au kuandika chochote, Mwenyezi Mungu atawalipa
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,967 Reaction score 194,042 Dec 11, 2021 #2 Hakika...
S Sesten Zakazaka JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 10,660 Reaction score 19,377 Dec 11, 2021 #3 Faana said: Kuna picha ukizitama zinahubiri hata bila kuzungumza au kuandika chochote, Mwenyezi Mungu atawalipa View attachment 2040366 View attachment 2040367 Click to expand... Hii picha inatafakarisha sana. Hebu muangalie Nyerere anavyomtolea Edward macho ya kuuliza na kutafakari. Kama vile kuna jambo ambalo hakutegemea kulisikia kutoka kwa Moringe na sasa kwenye brain yake anahoji uaminifu wa Sokoine kwake
Faana said: Kuna picha ukizitama zinahubiri hata bila kuzungumza au kuandika chochote, Mwenyezi Mungu atawalipa View attachment 2040366 View attachment 2040367 Click to expand... Hii picha inatafakarisha sana. Hebu muangalie Nyerere anavyomtolea Edward macho ya kuuliza na kutafakari. Kama vile kuna jambo ambalo hakutegemea kulisikia kutoka kwa Moringe na sasa kwenye brain yake anahoji uaminifu wa Sokoine kwake