N ngurati JF-Expert Member Joined Feb 14, 2011 Posts 221 Reaction score 240 Dec 13, 2014 #1 Katika mikutano ya kampeni za kuwanadi wagombea wa serikali za mitaa, CCM iko na Hali mbaya Arumeru. Imefika hatua wameshindwa kufanya mikutano sasa wanapitia nyumba kwa nyumba wakigawa sukari kuomba kura Attachments image.jpg 786.5 KB · Views: 812 image.jpg 443.3 KB · Views: 1,560
Katika mikutano ya kampeni za kuwanadi wagombea wa serikali za mitaa, CCM iko na Hali mbaya Arumeru. Imefika hatua wameshindwa kufanya mikutano sasa wanapitia nyumba kwa nyumba wakigawa sukari kuomba kura
LiverpoolFC JF-Expert Member Joined Apr 12, 2011 Posts 11,496 Reaction score 3,389 Dec 13, 2014 #2 ngurati nakwaambia mafisadi hawana lao huku tunakoelekea! Hakuna kulala mpaka kielewekeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
ngurati nakwaambia mafisadi hawana lao huku tunakoelekea! Hakuna kulala mpaka kielewekeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 25,975 Reaction score 25,290 Dec 13, 2014 #3 .... Dogo janja Kazini..... fagia fagia Escrowccm !!!!
samaki2011 JF-Expert Member Joined Dec 17, 2013 Posts 1,775 Reaction score 469 Dec 13, 2014 #4 futa kabisa chama cha wabakaji ccm
Marire JF-Expert Member Joined May 1, 2012 Posts 12,333 Reaction score 5,312 Dec 13, 2014 #5 futa hapo hao mbwa wezi mafisadi makuwadi waite jina lolote baya utabarikiwa