Picha: Balozi wa CCM akujiunga na CHADEMA

Picha: Balozi wa CCM akujiunga na CHADEMA

Hoho

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
320
Reaction score
83
Wakuu! leo ndo kampeni zimefungwa igunga tumeona namna wananchi wa igunga walivyo pata mwamko, leo balozi wa ccm kajiunga na chadema na kufichua maovu wa lio kuwa waki ya fanya akiwa ccm ndugu zangu kweli viongozi wa ccm siyo wa zuri na hawakitakii mema wananchi wao, video ninyo namna alivyo ongea kwa uchungu sana cha ajabu wao leo walipangiwa viwanja vya barafu lakini hawakujitokeza na kuingia mitini nitawaletea picha zao walivyo kua wengi.
 

Attachments

  • 1418481915898.jpg
    1418481915898.jpg
    81.1 KB · Views: 1,562
  • 1418481963358.jpg
    1418481963358.jpg
    85.3 KB · Views: 1,263
  • 1418481995497.jpg
    1418481995497.jpg
    84.9 KB · Views: 1,162
  • 1418482020297.jpg
    1418482020297.jpg
    78.2 KB · Views: 1,045
  • 1418482044927.jpg
    1418482044927.jpg
    69.4 KB · Views: 1,038
  • 1418482077707.jpg
    1418482077707.jpg
    46.9 KB · Views: 951
  • 1418482114779.jpg
    1418482114779.jpg
    65.7 KB · Views: 1,086
hoho huyo msakatonge tu na usishangae akawa anawahadaa kisha atarudi nyumbani baadaye.. Ungetupia na picha za mkutano wa CCM wa kuhitimisha ili tupime kabisa kesho itakuwaje lakini umeogopa kwa kuwa unajua tutawabwaga pamoja na huyo balozi msakatonge
Wakuu! leo ndo kampeni zimefungwa igunga tumeona namna wananchi wa igunga walivyo pata mwamko, leo balozi wa ccm kajiunga na chadema na kufichua maovu wa lio kuwa waki ya fanya akiwa ccm ndugu zangu kweli viongozi wa ccm siyo wa zuri na hawakitakii mema wananchi wao, video ninyo namna alivyo ongea kwa uchungu sana cha ajabu wao leo walipangiwa viwanja vya barafu lakini hawakujitokeza na kuingia mitini nitawaletea picha zao walivyo kua wengi.
 
Kesho msikimbie jukwaa hili!

Sisi ni watu tuliosoma, tumesoma mambo ya evaluation and control of strategies, tuna uhakika wa kuwanyang'anya ccm viti vingi sana ngazi ya serikali za mitaa kama tunavyoongeza viti vya ubunge, vyote tutakavyovipata kesho ni vile vinavyotoka kwenu. Na huo ndio ushindi wetu hata kama hatutachukua vyote, Uuuuuupooooo???????????????

Na mapambano bado yanaendele, mkuu nakushauri anza kutafuta nchi ya kukimbilia
 
Ccm wakikuwa wakifunga kampeni leo mitaa ya pasians stend watu walikuwa wakipita tu bila kuwajali ndipo wakabuni mbinu yakupiga miziki mchanganyiko mara makilikili, ndo watu wakasogea kwenye burudan ila si kusikiliza sera
 
Kesho msikimbie jukwaa hili!

Najua CCM wanajitahidi kujifariji. Historia ni kwamba vitongoji/mitaa na vijiji vyote vilikuwa vinaongozwa na CCM. Kitendo cha kupoteza mtaa/kitongoji au kijiji kwa upinzani ni sawa na kupoteza mtoto wako wa kumzaa. Kwa upinzani kupata ushindi wa idadi yoyote ile ni msiba mkubwa kwa CCM. Nashangaa bado hata watu makini mnajisifu kuwa ngangali wakati familia inapukutika. Eti watapata ushindi mdogo.
 
mti mkubwa hauangushwi kwa pigo mmoja la shoka bali humegwa kidogo kidogo na yakiwa mashoka mengi basi kukatika ni mapema zaidi
 
IMG_20141213_161053.jpg

Kwa nyomi hii iliyokuwepo kesho CCM lazima wakalishwe
 
Kesho msikimbie jukwaa hili!

Wewe hauijui Igunga ndio maana unaandika usichokijua tambua Igunga ndio baba wa mageuzi mkoa wa Tabora na ukitaka kupata habari kamili mwambie Mwigulu akuelezee na muulize alitoa taarifa kuwa atakuwepo siku ya ufungaji wa Kampeni hapa Igunga na Chopa lake mbona kaingia mtini?
 
Kesho msikimbie jukwaa hili!

IMG_20141214_112320.jpg

Hii ni leo asubuhi katika kituo kimojawapo

Siku njema huonekana asubuhi kati ya mistari hii ni mstari upi mrefu na upi mfupi na kati ya hii mistari ni upi unaishabikia CCM na upi unashabikia upinzani?
 
Update,,,, chadema kata ya igunga mjini imeshinda vitogoji vitano katika vitogoji 6 mafuta bangi wameshinda
 
Back
Top Bottom