Nasikia alikuwa akiishi kwenye bunker yenye gorofa 8 kwenda chiniNiaje waungwana
Leo ndio nimeuona ujasiri wa Netanyahu kupitia picha hii, jamaa hana hofu yoyote ya mapambano baada ya kuvaa gwanda na kuliongoza jeshi lake katika vita yao na Iran.
Aisee kwa picha hii huyu kweli jasiri 🤣🤣🤣🤣View attachment 3562120
😆😆😆😆😆😆 Jeshi lahofu
Ni kweli mkuu. Lakini baada ya vita, nina imani hilo swala litaenda kuchunguzwa na kufanyiwa kazi kwa kina na Iran.Israel na Netanyahu wake kwa Iran bado ni watoto sana. Mafanikio yao siku zote ni yale ya kuwaua tu viongozi wao.