Physics huwezi linganisha na geography kwa ugumu. Physics ni somo gumu sio tu kuliko geography bali kuliko masomo yote.
Waliosoma au wanaosoma PCM, PCB na PGM wengi wao walikuwa vile vile wanayamudu masomo ya arts olevel kwa hiyo hao watu wanauelewa mpana wakati wale wa H kunani wengi wao olevel hawafaulu masomo ya sayansi kwa hiyo wengi uelewa wao unazidiwa na wanaochukua PCM,PCB, PGM. Na ndio maana ni mara nyingi mwanafunzi wa kidato cha 5 aliye PCB, PCM,PGM kuhamia HGE,HKL nk na kufaulu vizuri tu lakini ni nadra HKL, HGL kuhamia PCM au PCB.