Kama si wazimu ni kitu gani hivi unajua unachokisema au ndio ushabiki? Amani imeshaharibika unahoji kitu gani?
kama hao waliokuwa wanafungua tawi la sehemu walikuwa ni wakazi kwa nini asingerudi siku ya pili kuwahoji?
Msitake kubadili agenda Mwangosi (R.I.P) alikuwa kamanda ukweli utabaki kama ulivyo, wapo waandishi wa habari njaa wengi wameingizwa kwenye payroll ya Chadema hilo tunalifahamu sana.
Chama
Gongo la mboto DSM.