Phone contacts

Mm huwa nasave majina ya wacheza mpira...mtu akiwa machachari,kuna mtu humu nimesave di maria,mwingine ozil na sanogo
 
Unampaje no yako mtu kama nsumbufu?

Mwingine hata hujampa..ka leo kuna mtu nimekuta miss call kapiga usiku nikampigia.. unasemaje hana la maana umepata namba ya sim wapi kuna mtu alimpa.., ananiuliza jina nikamwambia aliekupa namba mwambie akupe na jina
 
Mwingine hata hujampa..ka leo kuna mtu nimekuta miss call kapiga usiku nikampigia.. unasemaje hana la maana umepata namba ya sim wapi kuna mtu alimpa.., ananiuliza jina nikamwambia aliekupa namba mwambie akupe na jina

Nipe no yake nimpigie...atapigaje ucku.
 
Mwingine hata hujampa..ka leo kuna mtu nimekuta miss call kapiga usiku nikampigia.. unasemaje hana la maana umepata namba ya sim wapi kuna mtu alimpa.., ananiuliza jina nikamwambia aliekupa namba mwambie akupe na jina

mi nimekusave Heaven on Earth
 
Last edited by a moderator:
Hajaisave nilibp nikakutana na namba tu haina jina
 
Sina muda wa kuangalia simu yake, hata akinisave Nyau mi fresh tu as long as haninyimi nanihii....
 
Aaah... Me huwa nasave jina halisi na la baba yake. Ama mahali anakopatikana na jina lake. Mf. JF Excel, JF mwekundu n.k
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…