Ayusema
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 549
- 189
Hi wana MMU,
Sipendi kuchungulia simu ya mpenzi wangu hasa txt au whatsapp but contact ntajitahidi nione kani save vp... kwa niliowahi wa-date nilibahatika kuona wamenisave hivi.... niliangua kicheko kwa nilioyaona.... kidume nimeandikwa #Toto Mary, #Yudi, #Amazing, #Only1, #Engine, #vibrator huwa najiuliza why hawatumia real names????
Hivi ushajiuliza mpenzi wako ameku save vp katika simu yake?????
Sipendi kuchungulia simu ya mpenzi wangu hasa txt au whatsapp but contact ntajitahidi nione kani save vp... kwa niliowahi wa-date nilibahatika kuona wamenisave hivi.... niliangua kicheko kwa nilioyaona.... kidume nimeandikwa #Toto Mary, #Yudi, #Amazing, #Only1, #Engine, #vibrator huwa najiuliza why hawatumia real names????
Hivi ushajiuliza mpenzi wako ameku save vp katika simu yake?????