Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,117
- 1,391
Hello ,hope wote ni wazima Wa afya, Ningependa Tujuzane mengi kuhusu Hizi Carrier Mbili Kati ya Pharmacy na MD ni kozi Gan Ww unamshauri mwanafunzi Aliyemaliza Kidato cha Sita Na mwenye Ufaulu Mzuri Akasomeee ,Tuassume Amepata Muhimbili ,Je kati ya Daktari na mfamasia ni nani Mwenye Chance kubwa ya Kutusua Kimaisha tukiachana na Suala la Connection😅,
Kwa upande wangu Mimi Nasema Pharmacy Ni bora zaidi Sababu Ina uwanja Mkubwa wa biashara Na pesa Nyingi Japo hata kwa level ya Degree ambapo Mfamasia Atalipwa kwanzia (1.3 mpaka 1.4 M) akifanya kazi serikalini huku akiweka Cheti chake kwenye famasi Tofauti anapata Pesa nyingine ambayo range ni kwanzia 800k mpaka 1M (Double payment) ,wakati daktari atalipwa 1.3M mpaka 1.5M.
Lengo la kuanzisha Thread Ni kutokana Na vijana wengi wa Sasa Hivi Kukimbilia Kozi ya Udaktari kwa Mkumbo mwisho wa siku wanaikatia Tamaa Na Kutafuta pass and proceed (Hii inasababishwa na influence ya Wazazi Nyumbani )wakizania Kuwa Mtoto akisoma Udaktari ndo katusua kumbe Udaktari unahitaji mtu mwenye Passion Nao ambaye atajitoa kwa ajili ya Kusaidia watu zaid ya Pesa .
Tupe Ushauri Kwa nini Udaktari ni bora kuliko Famasi au kwa nini Famasi ni bora kuliko Udaktari?
Kwa upande wangu Mimi Nasema Pharmacy Ni bora zaidi Sababu Ina uwanja Mkubwa wa biashara Na pesa Nyingi Japo hata kwa level ya Degree ambapo Mfamasia Atalipwa kwanzia (1.3 mpaka 1.4 M) akifanya kazi serikalini huku akiweka Cheti chake kwenye famasi Tofauti anapata Pesa nyingine ambayo range ni kwanzia 800k mpaka 1M (Double payment) ,wakati daktari atalipwa 1.3M mpaka 1.5M.
Lengo la kuanzisha Thread Ni kutokana Na vijana wengi wa Sasa Hivi Kukimbilia Kozi ya Udaktari kwa Mkumbo mwisho wa siku wanaikatia Tamaa Na Kutafuta pass and proceed (Hii inasababishwa na influence ya Wazazi Nyumbani )wakizania Kuwa Mtoto akisoma Udaktari ndo katusua kumbe Udaktari unahitaji mtu mwenye Passion Nao ambaye atajitoa kwa ajili ya Kusaidia watu zaid ya Pesa .
Tupe Ushauri Kwa nini Udaktari ni bora kuliko Famasi au kwa nini Famasi ni bora kuliko Udaktari?