PGDE ni kozi halali au haitambuliki

PGDE ni kozi halali au haitambuliki

Mujjih

New Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
2
Reaction score
1
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
PGDE ndo koz
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
Vigezo na masharti kuzingatiwa Kama ulikizi vigezo wamewezaje kukutoa
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
Vijana acheni kudanganyana!! PGDE - Post Graduate Diploma in Education ni bonge la kozi. Hii inamwezesha mtu aliyesoma digrii isiyokuwa ya ualimu kuwa mwalimu kwa taaluma. Inawafaa sana watu waliosoma BSc(general), BA (general), BSc(agriculture), BSc(Eng). Kwanza ukiwa chuoni unakuwa kwenye hadhi ya graduate students. Ni kozi yenye hadhi sana.
Kuna utaratibu wa kuajiri walimu wasiokuwa na taaluma ya ualimu kwa kupewa LESENI na wizara ya elimu. Miaka ya nyuma walimu wa leseni walikuwa wengi sana kutokana na uhaba wa walimu kwa taaluma. Walimu hawa wa leseni walikuwa wanapewa hiyo kozi ya PGDE wakitokea kazini. Wakimaliza (Ni miezi 9 tu) wanaongezewa nyongeza mbili kwenye mishahara yao.
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
Pole, hii imewatokea wengi. Ilitakiwa tcu wasiisajili hii kozi kama wanaona inamakosa katika chuo.
 
Najaribu kujiuliza hapa kwa anayefanikiwa kumaliza hiyo kozi PGDE,

Anakuwa Mwalimu katika sekta gan ya Elimu,

Swali kwa maana ya kufundisha elimu ya
- Msingi
-Sekondari
- Vyuo vya ualimu!?
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
Sijui hata nikusaidiaje kwakifupi kuna tatizo mahali!
 
Umeingia kazini kimchongo, ajira za mwisho za mchongo zilipatikana late jan/feb.

Waliokupa kamilisha malipo kama mlivyokubaliana ndipo upate check namba.
 
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma PGDE Tafsri yake si uwe na sifa za ualimu! Serikali inakuajiri unahama mkoa na kusitisha mambo yako yote na kwenda kuishi maisha ya kupanga tena kwa kumuahidi mwenye nyumba mshahara ukitoka utamlipa, unaishia maisha ya mateso miezi3 alafu unafukuzwa Bila sababu ya msingi. So painful
Pole sana Mkuu but unajua dhumuni la kuanzishwa kwa hyo PGDE.


Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom