Spika kasema ukweli baada ya akili kumrudi ,ila kwanini ccm kila anayepinga aonekane msaliti kwa vitu vya msingi?mama anakopa utadhani mikoba ya wanawake kumbe anakopea nchi huyu mama aache shobo za kukopa,nchi ndo inalipa..Tanzania tumelaaniwa kila rais tunakutana na kimeo