Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
- Thread starter
- #81
Meshamju alichowaulizaMbona yeye kama hajipendekezi kwa Mbowe, angekula matapishi yake kwa Lowasa.... Mbona huu ni unafiki wa hali ya juu..wateule wote wa Chadema wanajipendekeza kwa Mbowe.. Wanasubiri ngoma ipigwe na Mbowe ili wao waicheze... Unafiki unafiki unafiki unafiki... Unafiki kuanzia Mbowe mwenyewe anajiependekeza kwa Lowasa na Vifaranga wake wote.. Wameufyata na kuufyatua..
Kama Chadema Kuna Mwanaume wa kweli asimame aseme Katiba ya Chadema.. Inawanyima wanachama wa Chadema Haki yao kutafuta Haki mahakamani.. Ni kinyume cha Katiba ya nchi ya Tanzania