Ayo family
Member
- May 19, 2016
- 18
- 2
Hv kuna chuo chochote kimeingiziwa pesa ya field ya awamu ya pili!!!
chuo gani mkuu??ndio
Chuo kipi hicho mkuu????ndio
Huyo hata chuo bado hajapata..!chuo gani mkuu??
Hv kuna chuo chochote kimeingiziwa pesa ya field ya awamu ya pili!!!
Daaah...naona serikali imeamua kutufanya tuishi maisha magumu sana....tunakaribia kumaliza field pesa bado sijui kwa nini inakuwa hivi this time daaah....Hv kuna chuo chochote kimeingiziwa pesa ya field ya awamu ya pili!!!
May be kwa awamu hii Hamna chochote kabisaaDaaah...naona serikali imeamua kutufanya tuishi maisha magumu sana....tunakaribia kumaliza field pesa bado sijui kwa nini inakuwa hivi this time daaah....

HahahahahahahahHuyo hata chuo bado hajapata..!
Pesa ya field second instalment hakuna chuo ambacho kimeingiziwa mpaka sasa mkuu..!
So tuendelee kusubiri..!!!
Daaaaah tu subir tu maana uhakika mdogo sanaaHivi awamu ya pili ipo kweli?