pesa inatumikaje hapa? msaada

pesa inatumikaje hapa? msaada

mangi mandara

Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
64
Reaction score
2
Heri ya mwaka mpya uliebahatika kusoma hapa,wanajamvi mimi ni mwanaume kila mwanamke nnaejaribu kumtongoza hua nampata kweli haruki kamba si kama najisifu ndo maisha nnayoyaona kwangu nikijaribu kufanya ivyo,mi bado sjajua nikwamba nawanyookea wale wakwangu ama the way i'm,i dont know,though napenda kujua jambo hili wanaposema pesa,pesa,pesa,pesa eti ndo umpate mwanamke badosjajua iyo pesa ina aplaiwa wapi apo,kwakweli pesa nnayo ila kidogo tu yakubadilisha mboga si nyingi kama kina ali mfuruti na kina juma ngaleko haga? sasa wanaume mnaojua au wanawake mnaotongozwaga mnachunaje mpaka mwanaume anatoboka maana naona wengi wanalia sana humu jf.Ahsanteni
 
shukran kwa thread...............that is all i can say
 
ukimlegezea mwanamke kamba na ye anaenda hvo hvo...
We mtu unakuja na swaga za kuflash hela unafikiri mi nifanyeje,matumizi hayatakuwa tatzo hata kdogo...
 
Hiyo unayoita fedha ya kawaida ndo watu unao wa approach wanaitaka. Unajua hatujaumbwa sawa kila mtu kulingana na uwezo wake na urefu wa kamba yake ana mahitaji yake.

Tunaishi katika classes..inategemea ume mu approach mwanamke wa class gani, na uwezo wako uko class gani.

Hivyo dhana ya mapenzi na pesa iko na ni dhahiri. Kinachotofautisha ni class na lifestyle. Kama unaenda guest za elfu 5 na unahonga elfu 10 na mdada yuko happy ni sawa.

But imagine una date msichana ambaye ana kiusafiri chake, akija kwenye date anataka hela ya mafuta ya gari, haendi uchochoroni anaenda kwenye hotel. Anapanga nyumba ya laki 3 hadi 4, na mshahara wake ni laki 7. Ana dream ya kuendesha gari kali na kujenga nyumba yake mwenyewe.

Ukila urefu wa kamba yako wala hutasumbuka na swala la pesa. Tatizo ni pale unapotaka kula matawi ya juu wakati shingo yako fupi kama swala. Matawi ya juu waachie twiga.
 
Back
Top Bottom