Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Kuna ofisi zimefunguliwa mikoani mf Kagera Bukoba mjini kwenye majengo ya bohari ya mkoa inaitwa Peoples Unity for Development in Africa. Hawa jamaa wanasema hii ni NGO inakuwa funded na Global network USA. Wanasema inatoa misaada ya kulipia watu karo. Kiwango ni Tsh 570,000 kwa term wale wa primary na 980,000 kwa wale wa sekondari. Sharti ni kuwa mzazi amchangie kila mtoto Tsh 60000 sasa na mtoto ataanza kulipiwa fedha shuleni kuanzia July. Wale wa vyuo na vyuo vikuu watalipiwa Tsh 2,640,000 kwa muhula.
Pia watatoa msaada wa kujenga majumba wa Tsh 6000000 kwa mtu atakayelipia kiingilio cha Tsh 400000. Wenye mashule watapewa Tsh 46,000,000. ikiwa wanalipa kiingilio cha laki sita. Fedha yote wanayotoa si mkopo. Mwanfunzi atakayebahatika kuingizwa katika mpango huu ataendelea kulipiwa kwa miaka 20.
Bronchure yao inasema ofisi zao kuu zipo Tip Top Manzese, Morogoro Rd Usangi House ghorofa ya kwanza. Pia wana matawi Temeke Changombe Rd karibu na shule ya sekoondari Kibasila phone 0787 706802, Ilala Bungoni msaada garage phone 075 222625 , Morogoro ccm house phone 0755 075901.
Watu Bukoba wameanza kumininika kwa wingi kulipa hivyo viingilio ili wasipitwe na bahati hii ya mtende.
Naomba msaada kujua kama hii ni genuine organisation au kuna mtu anajaribu kutafuta karo ya watoto wake? Huko USA kuna hiyo orgnisation inayosaidia katika capacity ilitajwa na hawa jamaa?
Na walio Dar kuna kitu kama hicho?
Omulangi.
Pia watatoa msaada wa kujenga majumba wa Tsh 6000000 kwa mtu atakayelipia kiingilio cha Tsh 400000. Wenye mashule watapewa Tsh 46,000,000. ikiwa wanalipa kiingilio cha laki sita. Fedha yote wanayotoa si mkopo. Mwanfunzi atakayebahatika kuingizwa katika mpango huu ataendelea kulipiwa kwa miaka 20.
Bronchure yao inasema ofisi zao kuu zipo Tip Top Manzese, Morogoro Rd Usangi House ghorofa ya kwanza. Pia wana matawi Temeke Changombe Rd karibu na shule ya sekoondari Kibasila phone 0787 706802, Ilala Bungoni msaada garage phone 075 222625 , Morogoro ccm house phone 0755 075901.
Watu Bukoba wameanza kumininika kwa wingi kulipa hivyo viingilio ili wasipitwe na bahati hii ya mtende.
Naomba msaada kujua kama hii ni genuine organisation au kuna mtu anajaribu kutafuta karo ya watoto wake? Huko USA kuna hiyo orgnisation inayosaidia katika capacity ilitajwa na hawa jamaa?
Na walio Dar kuna kitu kama hicho?
Omulangi.