Hivi demu hataki kukupa utamu miaka 3 halafu ameshazaa, nikipiga simu hapokei au anajibu Niko bize anakata. Akiwa na shida ya hela anapiga simu.
Halijipendekeza kwangu naona kama ananizibia riziki kwa mademu wengine. Eti kupiga chini itakua sahihi. Anajuana na sister wangu kupitia mume wa sister wangu alinizoea, sister akamuachia number yangu ndio mwanzo wa mawasiliano ulianza.