Kilichoiponza leo simba kwa upande wangu mi naona ni kitendo cha kuumia Pascal Wawa. Jamaa kama asingetoka nadhani leo mazembe wangepigwa mengi kabisa.
Kilichoiponza leo simba kwa upande wangu mi naona ni kitendo cha kuumia Pascal Wawa. Jamaa kama asingetoka nadhani leo mazembe wangepigwa mengi kabisa.
Hakuna pengo la wawa jana alichokifanya ni kujivunja ili atoke baada ya kuoona shughuli nzito na tayari kashafanya makosa mwanzoni nyoni anambeba tu ila ni wa kawaida sana
Hakuna pengo la wawa jana alichokifanya ni kujivunja ili atoke baada ya kuoona shughuli nzito na tayari kashafanya makosa mwanzoni nyoni anambeba tu ila ni wa kawaida sana
Huwa nashangaa ni kwa nini simba huwa hatupendi kumtumia juuko murshid
Yule jamaa ni agressive na anafaa kuwatisha washambuliaji wasumbufu Wawa ni mzito mno afu sio mkabaji mzuri hayuko aggresive, kutoka kwake ilikua faraja sana maana kama angeendelea lazima wale jamaa wangepata hata goli moja
Kilichoiponza leo simba kwa upande wangu mi naona ni kitendo cha kuumia Pascal Wawa. Jamaa kama asingetoka nadhani leo mazembe wangepigwa mengi kabisa.