Pendekezo: John Heche amrithi Zitto Kabwe

zitto amepandisha chati chama...yeye anafaaa uenyekiti ama ukatibu mkuu mbowe,hawezi shinda kwa urahisi kama akigombea urais, slaa ni jembe sana...ila ni mzee...abaki kama mshauri vijana waendeshe kazi....mtei asiingilie kabisa chama...hana hati miliki....chama ni cha wananchi...hazina ya kina mnyika,mdee,lissu,msigwa,nassari sugu, heche nk inatosha kusukuma chama na kupata wabunge wengi na hatimae kuchukua nchiii....
 
Ni maoni ya mtu binafsi lakini, je Wengi mnao changia humu mnaijua vizuri historia ya chadema Na nguvu kuu waliyokuwa Nayo chini ya Dr. Amani walid Kabourou miaka ya tisini, yupo wapi huyu jamaa now, karudi CCM ........ Siasa za bongo upuuzi mtupu
 

Naona kuna watu wanapata shida sana wanaposikia Mzee Mtei akitoa kauli kuhusu chama. Jamani tuwe wakweli hivi wakati Nyerere akiwa nje ya uongozi wa ccm na serikali mbona alikuwa akitoa matamko mazito yamkini yaliyowahusu hata viongozi walioko madarakani na hotuba zake tunazisikia hata hivi sasa. Kwa mtazamo wangu si makosa kwa Mtei aliye muasisi wa chama kufuatilia maendeleo ya chama hicho.
 

Mkuu wangu ukichunguza sana watu wanaompinga mzee Mtei Mwasisi wa chama utagundua ni watu wenye matatizo kumkichwa!
 


naunga hoja 100% mkuu
 
Hehehee mkuu mleta mada tafadhali peleka pendekezo lako mahala linapousika kwa utekelezaji, waambie JF wanaunga mkono hoja hahahaa
 
Sijaelewa watu wengine wanafikiria kwa kutumia nini?HECHE !!! hata kiswahili hajui vizuri,afadhali ungesema MNYIKA.
 
Mkuu wangu ukichunguza sana watu wanaompinga mzee Mtei Mwasisi wa chama utagundua ni watu wenye matatizo kumkichwa!
na watu wanaompinga zitto nao wana matatizo kumkichwa maana zitto amejenga chama sana tu mpaka kilipo fikia, mie ni mmoja wa wanachadema waliojiunga kwenye siasa na chama kwa sababu ya huyu kijana zitto, so nashangaa sana mnapo mblame zitto for no good reasons
 
Hehehee mkuu mleta mada tafadhali peleka pendekezo lako mahala linapousika kwa utekelezaji, waambie JF wanaunga mkono hoja hahahaa

Mkuu kwa taarifa wahusika wameshachukua hili pendekezo lakini halitakuwa haraka kama unavyodhani.Bali litatekelezwa wakati wa uchaguzi mkuu wa chama mwakani.
 
Umemueleza ukweli mkuu.
Kuna watu wanaleta mada za kutuchimba tu kila siku CHADEMA kwani hakuna watu wakuwaongelea wa TLP au NLD si wapo na walikutana na msajili wa vyama siku si nyingi mtuache jamani na majembe yetu
 
Acha kumdharirisha Mh. Zitto yan hapo ni sawa na Bajaj (Heche) na VX V8 (Zitto)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…