trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Afu kweli kapotea sana, ni muda sasa sijamuona akitangaza tbc1.
Au nae hakwendana sera za tbc,tuseme alikuwa na mwelekeo wa Tido wamemuondoa? ccm hawakawii
Ameondoka tbc muda mrefu,yupo radio Pangani.
Ameondoka tbc muda mrefu,yupo radio Pangani.
Je Joe kiampa naye yupo wapi?