johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Hahahaa....... wewe wasema!Le Mutuz ni mwanasiasa uchwara.
Yaani hapo unaeweza kumtumia kufundisha watu ni Kibajaji tu. Maana ameishi maisha halisi na hakuwa na namna ya kutoka isipokuwa muujiza wa Mungu.Hawa wanasiasa maarufu watatu ukiangalia historia zao za utotoni zinafanana wote wamepata malezi ya mzazi mmoja mmoja ( mama). Ila katika kuyafikia mafanikio ya kisiasa walipitia njia " ngumu" tofauti na hatimaye leo ni mawaziri, wabunge na makada maarufu wa chama tawala.Katika pembe tatu ya Nitoke Vipi Dr Kigwangala aliielekea elimu, Kibajaji akakimbilia vibarua/umachinga na Le mutuz " alizamia" kwenda kufanya kibarua melini. So Pembetatu hii inakukumbusha kuwa uwapo katika mazingira yoyote ya kinyonge endapo utawekeza katika juhudi na kutokata tamaa basi mafanikio yanakusubiri. Jumamosi njema!
Le mutuz alizaliwa nje ya ndoa kumbuka hilo!Yaani hapo unaeweza kumtumia kufundisha watu ni Kibajaji tu. Maana ameishi maisha halisi na hakuwa na namna ya kutoka isipokuwa muujiza wa Mungu.
Lemutuz baba yake ameshika nyadhifa kubwa mtu wa pili kutoka Rais ni balozi marekani akiwa na miaka 30. Huyo kama kapitia magumu ni story za kutunga ni uwongo.
Kigwangala baba yake alikuwa Msomi hata yeye kusoma kafuafa njia tu kukaa na mama ni yeye but hata mama yake aliyekaa nae hamtunzi ana laana.
Kibajaji ni muujiza wa Mungu unaoishi kutoka sifuri hadi kuwa alipo
Kibajaji aliishia darasa la 3 hivyo anastahili kupongezwa kwa hatua aliyofikia!kibajaj ana historia gani? 0mbona hamfunguki
Kibajaji aliishia darasa la 3 hivyo anastahili kupongezwa kwa hatua aliyofikia!
Yaani hapo unaeweza kumtumia kufundisha watu ni Kibajaji tu. Maana ameishi maisha halisi na hakuwa na namna ya kutoka isipokuwa muujiza wa Mungu.
Lemutuz baba yake ameshika nyadhifa kubwa mtu wa pili kutoka Rais ni balozi marekani akiwa na miaka 30. Huyo kama kapitia magumu ni story za kutunga ni uwongo.
Kigwangala baba yake alikuwa Msomi hata yeye kusoma kafuafa njia tu kukaa na mama ni yeye but hata mama yake aliyekaa nae hamtunzi ana laana.
Kibajaji ni muujiza wa Mungu unaoishi kutoka sifuri hadi kuwa alipo
Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.kibajaj ana historia gani? 0mbona hamfunguki
Le mutuz alizaliwa nje ya ndoa kumbuka hilo!
Mimi mpaka leo sijui hazardous waste n nini ?Lemutuz amesema alikuwa anaendesha gari la hazardous waste.