Kaparatus
Member
- Oct 14, 2011
- 32
- 6
Wadau nina tatizo na Laptop yangu ina zingua sana inakuwa inazima na kujiwasha na kisha inaleta blue screen na maandishi mengi sna kisha ikitulia inafanya kazi wakat mwingine inaleta mistari kwenye screen hasa napoanza kuplay video yoyote ile. mtaalamu yeyote anisadie.View attachment 84498