Habari,
Hivi kwa mfanyabiashara anaeuza bidhaa nje ya nchi akitaka kulipwa kwa kutumia paypal afanyaje? Tanzania haiko listed kama unaweza ku receive money kwa paypal
unafungua account paypal kisha unajaza namba yako ya bank kisha ukimaliza kujisajili ukitaka kununua icho kitu una click tu account yako ya bei unaichange iwe dollar kisha unafanya manunuzi
unafungua account paypal kisha unajaza namba yako ya bank kisha ukimaliza kujisajili ukitaka kununua icho kitu una click tu account yako ya bei unaichange iwe dollar kisha unafanya manunuzi
Habari,
Hivi kwa mfanyabiashara anaeuza bidhaa nje ya nchi akitaka kulipwa kwa kutumia paypal afanyaje? Tanzania haiko listed kama unaweza ku receive money kwa paypal