Payables/Receivables Accountant - Tanzania

Payables/Receivables Accountant - Tanzania

leromez

Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Looking for a Payables/Receivables accountant in Tanzania with 2 years experience and CPA.
Knowledge in ERP especially SAP.

Email your CV and cover letter to;
annita.muthanje@hallmarkrecruitment.com

www.hallmarkrecruitment.com
 
leromez hivi mnafikiri CPA inaokotwa okotwa tuu, Eti qualification CPA. Mbona nyie hamsomi hizo CPA mnataka wenzenu tuu.

Those are the requirements.
Kindly refrain from such statements.
If the cap fits you wear it.
 
Last edited by a moderator:
I have just acquired CPA but I dont have the experience
 
leromez hivi mnafikiri CPA inaokotwa okotwa tuu, Eti qualification CPA. Mbona nyie hamsomi hizo CPA mnataka wenzenu tuu.
Kwani cheti gani kinaokotwa?kama huna vigezo kaa kando pisha wenye vigezo waombe.pia kila mtu na taaluma yake we unataka mpaka mtu wa human resources awe na cpa?tumia kichwa chako vizuri wewe.
 
Last edited by a moderator:
kwa mshahara wa hiyo kazi sidhani kama mtu mwenye CPA na 2yrs experience akaukubali......sijui lakini maana wenye njaa wako wengi , hata wenye CPA
 
kwa mshahara wa hiyo kazi sidhani kama mtu mwenye CPA na 2yrs experience akaukubali......sijui lakini maana wenye njaa wako wengi , hata wenye CPA

Ni kweli waajili wengi wanataka kuitania CPA, kwa kuchukua advantage ya ufinyu wa ajira. Tena nadhani NBAA wanatakiwa kuweka standards za mishahara ili kulinda integrity na hadhi ya CPA. Hawakawii kumwambia mshahara 1 M
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom