L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 16,692 10,963 Jan 17, 2024 Thread starter #81 laptop90 said: Elezea na ishu ya clouds na ishu ya nape kuvamiwa. Click to expand... Kwani wewe unashindwa nini kuelezea kama unafahamu habari hizo unazotaka kueleza .wewe ndiye eleza kama unafahamu kitu
laptop90 said: Elezea na ishu ya clouds na ishu ya nape kuvamiwa. Click to expand... Kwani wewe unashindwa nini kuelezea kama unafahamu habari hizo unazotaka kueleza .wewe ndiye eleza kama unafahamu kitu
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 16,692 10,963 Jan 17, 2024 Thread starter #82 laptop90 said: Huku unafanya nini na unatafuta nini Click to expand... Hili ni jukwaa huru kwa ajili ya kupashana na kupeana habari mbalimbali pamoja na kufanya mijadala mbalimbali.
laptop90 said: Huku unafanya nini na unatafuta nini Click to expand... Hili ni jukwaa huru kwa ajili ya kupashana na kupeana habari mbalimbali pamoja na kufanya mijadala mbalimbali.
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 16,692 10,963 Jan 17, 2024 Thread starter #83 laptop90 said: Mbona kabla hajateuliwa hatukuona promo zako juu yake humu. Ameteuliwa ndo promo zimeanza. Uchawaaa. Hawezi kukupa nafasi wewe Click to expand... Kwani wapi niliposema na kuandika kuwa nimesema anipatie nafasi .
laptop90 said: Mbona kabla hajateuliwa hatukuona promo zako juu yake humu. Ameteuliwa ndo promo zimeanza. Uchawaaa. Hawezi kukupa nafasi wewe Click to expand... Kwani wapi niliposema na kuandika kuwa nimesema anipatie nafasi .
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 16,692 10,963 Jan 17, 2024 Thread starter #84 laptop90 said: Kama hutaki kuonwa kwanini uweke jina na namba yako. Chawa ni chawa tu Click to expand... Weka hata namba yako tu mkuu
laptop90 said: Kama hutaki kuonwa kwanini uweke jina na namba yako. Chawa ni chawa tu Click to expand... Weka hata namba yako tu mkuu
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 82,039 95,301 Jan 17, 2024 #85 Lucas mwashambwa said: wewe fuata ushauri wangu wa kuacha bangi Click to expand... Mbona sasa ulichukua mtungi wa gas jana?
Lucas mwashambwa said: wewe fuata ushauri wangu wa kuacha bangi Click to expand... Mbona sasa ulichukua mtungi wa gas jana?
Toxic Concotion JF-Expert Member Aug 5, 2015 5,684 20,444 Jan 17, 2024 #86 Lucas mwashambwa said: Andika vizuri Click to expand... kikubwa umeelewa chief.
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 16,692 10,963 Jan 17, 2024 Thread starter #87 Benjamini Netanyahu said: Mbona sasa ulichukua mtungi wa gas jana? Click to expand... Acha dharau mdogo wangu
Benjamini Netanyahu said: Mbona sasa ulichukua mtungi wa gas jana? Click to expand... Acha dharau mdogo wangu
P pilipili kichaa JF-Expert Member Sep 3, 2013 17,744 13,813 Jan 17, 2024 #88 Makonda anabebwa tu kwani sio kiongozi! Hana ethics kabisa kama kiongozi. Hana nidhamu, hekima wala busara za kiongozi.
Makonda anabebwa tu kwani sio kiongozi! Hana ethics kabisa kama kiongozi. Hana nidhamu, hekima wala busara za kiongozi.
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 16,692 10,963 Jan 17, 2024 Thread starter #89 pilipili kichaa said: Makonda anabebwa tu kwani sio kiongozi! Hana ethics kabisa kama kiongozi. Hana nidhamu, hekima wala busara za kiongozi. Click to expand... Wewe wasema hayo lakini kila mtanzania anatambua uwezo mkubwa wa kiuongozi alionao Mh Makonda.
pilipili kichaa said: Makonda anabebwa tu kwani sio kiongozi! Hana ethics kabisa kama kiongozi. Hana nidhamu, hekima wala busara za kiongozi. Click to expand... Wewe wasema hayo lakini kila mtanzania anatambua uwezo mkubwa wa kiuongozi alionao Mh Makonda.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 82,039 95,301 Jan 17, 2024 #90 Lucas mwashambwa said: Acha dharau mdogo wangu Click to expand... Mjinga wewe rudisha modem ya Katibu anarudi muda siyo mrefu alikuwa kwa DAS Chunya
Lucas mwashambwa said: Acha dharau mdogo wangu Click to expand... Mjinga wewe rudisha modem ya Katibu anarudi muda siyo mrefu alikuwa kwa DAS Chunya
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 16,692 10,963 Jan 17, 2024 Thread starter #91 Benjamini Netanyahu said: Mjinga wewe rudisha modem ya Katibu anarudi muda siyo mrefu alikuwa kwa DAS Chunya Click to expand... Acha utoto dogo
Benjamini Netanyahu said: Mjinga wewe rudisha modem ya Katibu anarudi muda siyo mrefu alikuwa kwa DAS Chunya Click to expand... Acha utoto dogo
The Khoisan JF-Expert Member Jun 5, 2007 15,502 13,152 Jan 17, 2024 #92 Mwizukulu mgikuru said: Acha kuwabeza akina Mbowe, shauri yako Click to expand... Kwa akili yake .... sidhani kama amekuelewa.......!!
Mwizukulu mgikuru said: Acha kuwabeza akina Mbowe, shauri yako Click to expand... Kwa akili yake .... sidhani kama amekuelewa.......!!
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 82,039 95,301 Jan 17, 2024 #93 Lucas mwashambwa said: Acha utoto dogo Click to expand... Una hela ya kuweka bando? posho zenu mpka tarehe 29 Joketi hataki mchezo
Lucas mwashambwa said: Acha utoto dogo Click to expand... Una hela ya kuweka bando? posho zenu mpka tarehe 29 Joketi hataki mchezo