Pata website ya kampuni yako kwa bei nafuu

Pata website ya kampuni yako kwa bei nafuu

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,351
Reaction score
4,616
Wadau wa JF,
Natambua kuwa humu ndani wamejaa wajasiriamali wengi sana,kwa kutambua hili ninapenda kuwapatia solution ya kipekee kwa ajili ya kuhakikisha biashara zenu zinakuwa online kwa gharama nafuu kabisa.gharama hiyo ni shilingi ngapi? ni shilingi 89,900 tu kwa mwaka yaani shilingi 5000 kwa mwezi

Mchanganuo ni kama ifuatavyo:
  1. Domain name 1 ya .tz
  2. Word press CMS
  3. 5 Emails za 200MB each
  4. Free support
Huduma hii ni maalum kwa wafanya biashara ndogo ndogo ambao hawana mahitaji makubwa ya website.
Kumbuka kuwa kuna faida nyingi za kuwa na website kwa biashara yako hata kama ni ndogo.Ili kutumia fursa hii tafadhali wasiliana nasi kupitia simu namba
 
Back
Top Bottom