L lihaka naligi Member Joined Jun 11, 2017 Posts 17 Reaction score 3 Jun 11, 2017 #1 Pata adidas kari original 55000 tu
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,479 Reaction score 105,036 Jun 11, 2017 #2 Hapo ndio mwisho wa tangazo lako, ama tusubiri utakuja kuendelea.....
engine rock JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 1,389 Reaction score 1,418 Jun 11, 2017 #3 Hakuna adidas original inauzwa 55.000/.....hiyo feki.
L lihaka naligi Member Joined Jun 11, 2017 Posts 17 Reaction score 3 Jun 11, 2017 Thread starter #4 Ushimen said: Hapo ndio mwisho wa tangazo lako, ama tusubiri utakuja kuendelea..... Click to expand... Kwani hujaelewa wapi hapo
Ushimen said: Hapo ndio mwisho wa tangazo lako, ama tusubiri utakuja kuendelea..... Click to expand... Kwani hujaelewa wapi hapo
L lihaka naligi Member Joined Jun 11, 2017 Posts 17 Reaction score 3 Jun 11, 2017 Thread starter #5 engine rock said: Hakuna adidas original inauzwa 55.000/.....hiyo feki. Click to expand... Original boss
engine rock said: Hakuna adidas original inauzwa 55.000/.....hiyo feki. Click to expand... Original boss
Ilankunda1234 JF-Expert Member Joined Dec 28, 2015 Posts 4,840 Reaction score 4,806 Jun 11, 2017 #6 Mbona iko kwenye mguu wa mzungu
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,479 Reaction score 105,036 Jun 11, 2017 #7 lihaka naligi said: Kwani hujaelewa wapi hapo Click to expand... Ohhh..... Nimesha elewa Mkuu, maana nilikua sijaona namba zako za mawasiliano, mahali ulipo/unapo patikana na hata bidhaa zako.. Ndio nimeona saivi Mkuu, kweli unabidhaa nzuri aiseeee.... Tutawasilana kwa hiyo namba yako ulio iweka hapo...
lihaka naligi said: Kwani hujaelewa wapi hapo Click to expand... Ohhh..... Nimesha elewa Mkuu, maana nilikua sijaona namba zako za mawasiliano, mahali ulipo/unapo patikana na hata bidhaa zako.. Ndio nimeona saivi Mkuu, kweli unabidhaa nzuri aiseeee.... Tutawasilana kwa hiyo namba yako ulio iweka hapo...
milemele Senior Member Joined May 8, 2017 Posts 117 Reaction score 189 Jun 11, 2017 #8 Ushimen said: Ohhh..... Nimesha elewa Mkuu, maana nilikua sijaona namba zako za mawasiliano, mahali ulipo/unapo patikana na hata bidhaa zako.. Ndio nimeona saivi Mkuu, kweli unabidhaa nzuri aiseeee.... Tutawasilana kwa hiyo namba yako ulio iweka hapo... Click to expand...
Ushimen said: Ohhh..... Nimesha elewa Mkuu, maana nilikua sijaona namba zako za mawasiliano, mahali ulipo/unapo patikana na hata bidhaa zako.. Ndio nimeona saivi Mkuu, kweli unabidhaa nzuri aiseeee.... Tutawasilana kwa hiyo namba yako ulio iweka hapo... Click to expand...
L lihaka naligi Member Joined Jun 11, 2017 Posts 17 Reaction score 3 Jun 11, 2017 Thread starter #9 Ushimen said: Ohhh..... Nimesha elewa Mkuu, maana nilikua sijaona namba zako za mawasiliano, mahali ulipo/unapo patikana na hata bidhaa zako.. Ndio nimeona saivi Mkuu, kweli unabidhaa nzuri aiseeee.... Tutawasilana kwa hiyo namba yako ulio iweka hapo... Click to expand... Karibu lihaka naligi said: Kwani hujaelewa wapi hapo Click to expand...
Ushimen said: Ohhh..... Nimesha elewa Mkuu, maana nilikua sijaona namba zako za mawasiliano, mahali ulipo/unapo patikana na hata bidhaa zako.. Ndio nimeona saivi Mkuu, kweli unabidhaa nzuri aiseeee.... Tutawasilana kwa hiyo namba yako ulio iweka hapo... Click to expand... Karibu lihaka naligi said: Kwani hujaelewa wapi hapo Click to expand...
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,479 Reaction score 105,036 Jun 11, 2017 #10 milemele said: Click to expand... Kulikoni tena mkuu.....
milemele Senior Member Joined May 8, 2017 Posts 117 Reaction score 189 Jun 11, 2017 #11 Ushimen said: Kulikoni tena mkuu..... Click to expand... nimekuelewa sana mkuu,jamaa hajatoa code yyte wap alipo wala contact ss sijui watu wafikaje
Ushimen said: Kulikoni tena mkuu..... Click to expand... nimekuelewa sana mkuu,jamaa hajatoa code yyte wap alipo wala contact ss sijui watu wafikaje
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,479 Reaction score 105,036 Jun 11, 2017 #12 lihaka naligi said: Karibu Click to expand... Nikaribie wapi Mkuu... Maana naona hili tangazo lote limejaa hewa, na hiyo picha ya mzungu ulio iweka imevaa Adidas ndio imenifanya nikuamini zaidi aiseeeee.....
lihaka naligi said: Karibu Click to expand... Nikaribie wapi Mkuu... Maana naona hili tangazo lote limejaa hewa, na hiyo picha ya mzungu ulio iweka imevaa Adidas ndio imenifanya nikuamini zaidi aiseeeee.....
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,479 Reaction score 105,036 Jun 11, 2017 #13 milemele said: nimekuelewa sana mkuu,jamaa hajatoa code yyte wap alipo wala contact ss sijui watu wafikaje Click to expand... Hio ndio aina ya vijana wabunifu wanao patikana hapa Tanganyika
milemele said: nimekuelewa sana mkuu,jamaa hajatoa code yyte wap alipo wala contact ss sijui watu wafikaje Click to expand... Hio ndio aina ya vijana wabunifu wanao patikana hapa Tanganyika
Escobar JF-Expert Member Joined Sep 16, 2011 Posts 574 Reaction score 443 Jun 11, 2017 #14 Namba 46 unayo?
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Jun 11, 2017 #15 Utanithibitishiaje kwamba ni Original sio feki ya mchina?