Kama unahitaji nyumba, viwanja, magari, vyumba, frem za maduka, nyumba za stoo (Godown) n.k.
ndani ya jiji la Arusha, wasiliana nasi kwa 0767287941 Kwa sasa tuna:
1. Nyumba Moshono yenye: Vyumba2(master 1), iko ndani ya Geti. Bei: 300 kwa mwezi. Umbali: Kilomita 1 kutoka Club D.
2. Kiwanja Sakina, Ukubwa: 800sqm, Mahali: mita 800 kutoka Lami..
Bei: 30 Milioni
3. Kiwanja Moshono, Arusha.
Ukubwa: 600sqm
Bei: Milioni 12.
Mahali: Mita 400 kutoka Main Road (Old Moshi Road).
4. Kiwanja Matevezi, Arusha.
Ukubwa: 680Sqm(title deed 99yrs)
Mahali: Matevezi mita 20 kutoka lami.
Bei: 8 Milioni
5. Kiwanja Olasiti, Arusha. Ukubwa: 400Sqm
Mahali: Olasiti mita 800 Kutoka lami.
Bei: 12Milioni
Karibuni wote
Mawasiliano: 0767287941