Pata incubator kwa gharama nafuu

Pata incubator kwa gharama nafuu

pozzyfaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
1,453
Reaction score
268
Tunatengeneza incubator kw gharma nafuu sana. Zenye ufanisi wa 86% tunapatikana kimara korogwe tuwasiliane kwa 0754078015 1432215588198.jpg 1432215588198.jpg
 
Bei zinatifautiana mkuu kulingana na aina ya mashine na inabeba mayai mangapi ni vyema kusema unahitaji mashine ya uwezo gani na ukapewa bei
 
Mbona cjafunga picha. Ngoja nitume zingine. Au niwhasapp nikutumie
 
ufanisi 86%..duh hii risk ya 14% ni kubwa sana tena sana....!! na hapo ina maana kila kitu ikiwa saawa nafikri km kunatokea tatizo la kifund, umeme. nk risk itkuwa juu sana
 
hii 86% tuliyoweka nikwa kuangalia ni wapi mayai umeyapata kutoka na wala sio lisk kubwa kama unavyo sema. hii ni makadili kulingana na ubora wa mayai yako, kama mayai yako yakiwa ni mabovu ndio unapata ufanisi huu, endapo mayai yote yatakua na mbegu ufanisi unakuwa ni mkubwa zaidi, tumeisha zifanyia majaribio na na kupata pafomanc kubwa zaidi ya kiwango hichi. na vifaranga wa mwisho tuliweka mayai 300 tukatoa vifaranga 275. ufanisi wa mashine yoyote ni Joto, Unyevu nyevu, Joto kusambaa vyema, na mayai yenye mbegu na masafi. endapo utakosa haya ujue ufanisi ni hafifu
 
Nakupongeza ndugu yangu kwa kazi yako, taratibu tuta fika mbali na ipo siku utatengeneza zenye obora zaidi hadi 90%.
Kitu kingine labda nikupe ushauri kidogo labda itasaidia kwenye kutangaza biashara.

Ni vema uka funguka zadi unapo tangaza biashara yako, tumia hata saa nzima ya kuandaa na kuadika matangazo yako ili yavutie na iwe rahisi kwa wateja, ndio maana makampuni mengi hua wanalipia gharama kubwa kwa matangazo tu.
Hapa unge weka au kuandika hizo incubator ulizo kuanazo bei na uwezo au idadi ya mayai, Mfano
mayai 50 bei.. ni automatic au sio, ni Watts ngapi, au inatumia mafuta ya taa.
mayai 100.. bei
mayai 500 bei.. watts? automatic? N.K.
Sasa mteja ukimpa details nyingi atavutiwa kuliko aanze kuku andikia na kukuulize hayo masuali labda wakati anasubiri jibu akapata sehemu nyingine penye maelezo zaidi na akaridhika hapo na akanunua direct, wewe utakua umekosa mteja hapo.
Kila la kheri ndugu yangu.
 
Nakupongeza ndugu yangu kwa kazi yako, taratibu tuta fika mbali na ipo siku utatengeneza zenye obora zaidi hadi 90%.
Kitu kingine labda nikupe ushauri kidogo labda itasaidia kwenye kutangaza biashara.

Ni vema uka funguka zadi unapo tangaza biashara yako, tumia hata saa nzima ya kuandaa na kuadika matangazo yako ili yavutie na iwe rahisi kwa wateja, ndio maana makampuni mengi hua wanalipia gharama kubwa kwa matangazo tu.
Hapa unge weka au kuandika hizo incubator ulizo kuanazo bei na uwezo au idadi ya mayai, Mfano
mayai 50 bei.. ni automatic au sio, ni Watts ngapi, au inatumia mafuta ya taa.
mayai 100.. bei
mayai 500 bei.. watts? automatic? N.K.
Sasa mteja ukimpa details nyingi atavutiwa kuliko aanze kuku andikia na kukuulize hayo masuali labda wakati anasubiri jibu akapata sehemu nyingine penye maelezo zaidi na akaridhika hapo na akanunua direct, wewe utakua umekosa mteja hapo.
Kila la kheri ndugu yangu.

Ni kweli tangazo bado halijajitosheleza ila hongera kwa kumpa ushauri
 
Funguka vizuri acha kubana miguu/ maelezo finyuuu..!! Au chukua tution ya marketing. Kabla haujaharibu biashara
 
Kama ww ni mjasilia mali na unahitaji incubator kwa gharama nafuu tafadhar tuwasiliane. Mashine tunatengeneza zipo ambazo zipo tayar. Mashine zinaanzia mayai 60-5000
Maahine ya mayai 60 ni sh. laki 180 na mashine ya mayai 5000 ni mili 4.8
mashine zinactrol joto automatic na kugeuza ni manual ndani ya sekunde 3 unakua umegeuza mayai yote
 
Watanzania kwa kuigana utachoka mwenyewe utafikiri watengeza makochi. Sasa hivi kila watu wengi wamevamia fani hii wakati hawana ujuzi mahsusi wa mambo ya poetry. Inatakiwa ujuzi uongezeke yaani incubator iweze kutotoa mayai ya ndege mbali mbali wakiwemo kware, bata, bata mzinga, mbuni, kasuku, kanga, bata maji nk siyo kuku tu.

Usiposhughulisha akili bidhaa zako zitakudodea mwenyewe usingizie umelogwa.
 
Mkuu kama hujui kuhusu incubator kaa kimya. Unaongea kitu usicho kijua. na inaonekana hujui maana ya incubator. Hizi ni univelsar unaangua ndege yeyote.sasa kabla hujacomment chunguza kama huwezi uliza utapata majibu. So jifunze ndio uwe unacoment
 
Mkuu kama hujui kuhusu incubator kaa kimya. Unaongea kitu usicho kijua. na inaonekana hujui maana ya incubator. Hizi ni univelsar unaangua ndege yeyote.sasa kabla hujacomment chunguza kama huwezi uliza utapata majibu. So jifunze ndio uwe unacoment
 
Tunatengeneza incubator kwa gharama nafuu zenye ufanisi wa hali ya juu ikiwa na garantii ya miezi 6
 
Back
Top Bottom