Pasipoti zinatolewa kwa watu hewa?

Hii ndo tanzania ndugu yangu... Vitu vinawekwa ushahid tu.... Hio bvr tu watu wamejiandikisha mara mbili mpaka mara tatu.... Mifumo yetu ni mibovu sana

#nchiyamwendokasi
 
Kaka hio haiwezekani kabisa kwa sasa.....wala usiende mbali.wewe nenda tuu pale TRA kama una TIN kisha omba TIN mpya kwa jina lingine finger print zinakuumbua pale pale....the same thing immigration kwa sasa haiwezekani..ukiomba kwa jina hili kwenye finger print watakwambia mbona wewe unaitwa fulani na ulishakua na passport ........
 
Sasa unabisha nini we seal.mi nawajuwa majanki kibao wakibongo wakiharibiwa passport zao na wazee wa nondo wa kaburu wanakimbia bongo fasta wanarudi na passport yenye jina jengine sema picha yake.nawajua zaidi ya10.for sure.
 
Zamani hicho ulichosema kilikuwa kinawezekana ila kwa sasa ni ngumu pale airport wanaangalia fingerprint kwa kifaa flani wakikuta hazioani na paspoti yako halisi wanakudaka.. ilishamtokea jamaa yangu flani
 
Zamani hicho ulichosema kilikuwa kinawezekana ila kwa sasa ni ngumu pale airport wanaangalia fingerprint kwa kifaa flani wakikuta hazioani na paspoti yako halisi wanakudaka.. ilishamtokea jamaa yangu flani
Mbona mtoa mada kasema finger prints zinakuwa za kweli ila jina ndio tofauti
 
Huwezi maana hata passport renew hupeleki fingerprints
Unaweka jina tu wanakupa passport ukiweka na picha recent
 
We
We. Nenda kajaribu kajaribu tu uone hayo Mambo yalikuwa zamani sio sasa hivi scanner zipo kila sehemu hata south africav zime link na za tanzania
 
Hio michezo ni ya kweli kweli na bado ipo adi sasa... wiki iliyopita kuna mtu kasafiri na pasport yake yake mpya... yenye jina tofauti na mwanzo ile ya zamani kaachana nayo mana ali over stay nchi aliyotoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…