Hii imekaa kama njia panda ya miguu
Hiki kichuguu ulinganishe na mgodi wa Kimataifa wa Bulyanhulu!!?
Kahama sehemu gani?Ni Colonial Pit ambayo iko Kahama imeenda chini sanaaa
Kahama sehemu gani?
bora huko kwenye dhahabu
mi nikikumbuka tanzanite 1 huwa naogopa na kufurahi kwa wakati mmoja!sitausahau mgodi wa main shaft hasa siku skip ukute haifanyi kazi unatakiwa upande kwa miguu!mgodini kuna raha yake bana ila ngema zikishuka ndo huwa mtafutano
Huku mlikuwa mnafanya kazi kama peponi, Taa, Lift, Mashine nk
Mererani kule kushuka tu chini ni machimbo baadhi yana Monorok (Winchi) zinazo tumiwa kupandisha vifusi duniani
Hakuna cha taa wala mavazi maalumu, ni wewe na tochi yako na kujipanga mstari kusomoa viroba, Compressor ikizima wakati Nobel ashaseti mambo yake hewa ya sumu lazima iwaue, mvua ikinyesha maji yanawashukia, Vifusi kufunika watu ni jambo la kawaida
Msosi wenyewe sasa upige ugali maharage saa tisa mchana kumi na mbili mzame kutoka kesho yake saa tano asubuhi
Ushirikina wa ajabu unaweza kuwa umepumzika kusubiria hewa chafu ivutwe duniani basi milio ya chatu ukiwasha tochi huoni kitu
Dah wachimbaji wadogo wana tabu sana na kwa hakika tunahitaji wawekezaji wakubwa ili kufanya uchimbaji wenye tija
Kaburu wa Tanzanite one yeye alikuwa ana enjoy tu uchimbaji wa kisasa ila ndio hivyo katauchia mashimo na hela yake nchi haijafaidi
Inauma sana
Hamna cha information mkuu wewe ibuka Opec pale baada ya siku mbili tatu utakuwa ushapata shimo la kuzama ni wewe na nguvu zako tuDuuh ni noma sana mkuu...nataka informations za kutembelea migodi ya Tanzanite mkuu
Aisee nimeipenda hebu uiendeleze mkuu. Japo nimemshikia zamu mkuu flani kwa leo atanisamehee mr Jv.
Subscribed
Part 2 plzzz
Mnajisaidia wap huko ndan?
Hyo pati tuu lini mkuu ngwapanagi
Unga humu usisahau kunitag
Duh aiseeee hii tamu saaaana sitamani kuikosa, Ng'wanapagi usisahau kuintag mkuu
Dah! Mkuu nami unitag
Nimeshatupia part IINadhani Part II ianzishie uzi wake.
stori nzuri nimependa
lini mkuu
Hapo kwenye mambo ya Ushirikina hapo asilimia 90% wanashiriki..
Mambo ya NDAGU noma sana
Huu uzi uendele tafadhali
Mleta uzi uko underground nn
Nimechukua kiti kabisa mkuu kujua kifuatacho
Sasa mkuu siuendelee kusimulia
Nasubir part two
Part two
Nishatupia part IIMleta mada kakimbia
Ohooo shukran mkuu ngoja tuifuatilie maana ni nzuri sana aisee inatupa mwanga sana kwa vile vingine tusipovijua tunavijua kupitia wewe mkuu ubarikiwe sana.Nishatupia part II