Paris Saint Germain Yakata rufaa Game na Barcelona kurudiwa

Mlaleo

JF-Expert Member
Oct 11, 2011
13,388
9,758
Timu ya PSG baada ya kufungwa isivyotarajiwa kikandanda imekata rufaa kwa chama cha Mpira cha ulaya UEFA kwa kusema refa Deniz Aytekin's Kutoka Ujerumani aliyechezesha mechi baina yao na Barca alipoteza umakini na kushindwa kuongoza kwa haki na kuwafanya wao kupoteza mechi kwa goli 6-1 ugenini katika mashindano ya vilabu Bingwa ulaya. Mtandao wa ESPN umedhiitisha kutoka chanzo cha karibu na Klabu hiyo ya ufaransa.

Kikosi cha Kocha Unai Emery kilizidiwa na kuwafanya Barcelona kutoka nyuma hadi kufanikiwa kuwatangulia kwa jumla magoli 6 dhidi ya 5 ukichanganya kwa mechi zote.

Lakini PSG hawaamini kuwa kikosi cha Kocha Luis Enrique kushinda bali kilisaidiwa na maamuzi mengi ya Mabovu ya refa wa mchezo huo kutoka Ujerumani.

Matandao wa Marca dot com umeelezea na kuonesha kuwa PSG wamekabidhi rasmi rufaa yao kwa Aleksander Ceferin Raisi wa Chama cha mpira cha Ulaya, na idadi ya maamuzi mabovu yaliyofanywa na refa Aytekin dhidi ya Mabingwa hao wa Ufaransa katika mchezo wao wa pili Mjini Catalonia Barcelona.

14894184006941.jpg

Chanza cha habari kilicho karibu Les Parisiens tokea kiifahamishe ESPN FC kuwa rufaa ipo na ishakabidhiwa kwa badi ya mpira wa miguu ya ulaya.
i

Timu ya Paris Saint-Germain haikuweza kuzuia ushindi wao wa magoli manne iliyoupata nyumbani katika mechi yao ya kwanza dhidi ya timu ya Barcelona.
Pamoja na kukubali kufungwa kwenye mechi ya pili, Wana PSG katika maandishi yao wamelalamika idadi ya makosa ya Luis Suarez kwa kujiangusha katika eneo la penati na kusababisha penati ya pili na Mlinzi wa Barcelona Javier Mascherano kumfanyia madhambi Kiungo wao Angel Di Maria--Ambae baadae alikubali kosa vitu ambavyo vilichangia.

Penati hatukupewa kwa Mascherano alipounawa mpira, na Gerard Pique hakupewa kadi ya pili ya Manjano, faulo ya Thomas Meunier kwa Neymar akajiangusha na Messi akafunga goli la penati na Neymar kumchezea faulo Marquinhos vyote vimeorodheshwa.

Maamuzi ya refa Aytekin yameelezwa ni mabovu mno Nchini Ufaransa na Nchini Uhispania pia vyombo vya habari vinataka ipigwe kura kuwa Mechi hiyo irudiwa sababu refaree Mjerumani alipoteza uwezo wa kukontroo mchezo kwa maamuzi yake.

Kocha wa PSG Emery alisema timu yangu ''tumepoteza kila kitu sababu ya maamuzi ya refa Aytekin mara baada ya Mechi, Wakati huo Mwenyekiti na CEO wa klabu hiyo Bwana Nasser l-Khelaifi alijaribu kujiepusha kutoa sababu zozote lakini alikili kuwa timu yake haikstahili kufungwa kwa zile Penati.''

Pique alistahili kadi ya pili ya Manjano picha ya chini
14894387388134.jpg

Marquinhos Akikwatuliwa na Neymar chini
14894388232020.jpg

Suarez akichumpa mwenyewe chini kana kwamba kuna bwawa la kuogelea chini
14894388643203.jpg

Pique's akiunawa mpira picha ya chini
14894389532166.jpg

Marcherano akiunawa mpira picha ya chini
20170310-the18-image-macherano-handball.jpg


Source
 
Champions LeagueVisitors reproach referee's attitude
Aytekin allegedly said 'f**k you' to PSG players at Camp Nou


Two of the Blaugrana's six goals came from a pair of questionable penalties, while an edgy tackle inside Marc-Andre Ter Stegen's box by Javier Mascherano wasn't given as a foul.

Not only that, but French paper 'Le Parisien' claims Aytekin was rude towards the visitors all match long, having allegedly said 'f*ck you' to them on several occasions.

The president of the Paris based club, Nasser Al-Khelaifi, hasn't hesitated in blaming the referee for their loss.

"It's hard not to think the outcome of the tie would have been different if we had competent officiating," he said.

"There is so much at stake, referees must be aware of it.

"Nerves and numbness are not acceptable at this stage of the competition.

"Everybody saw the penalty suffered by Di Maria, which would have seen the score at 3-2.

"I would rather not comment on [Luis] Suarez's penalty."

Source
 
BarcelonaPoor officiating is the reason behind it
There is a petition for the Barcelona-PSG match to be replayed

Amid the controversial Champions League comeback by Barcelona over Paris Saint-Germain at the Camp Nou, a petition has been launched to make the two teams replay the match.

Far from dying down, Deniz Aytekin's performance keeps on receiving more critics.

Thus, a fan named Luis Melendo has expressed his desire for the duel to be replayed by initiating a petition on Change.org, the world's largest platform to mobilize support.

Almost 3000 people have signed the petition, which lists 13 questionable calls by Aytekin.

- Minute 2: Offside goal by Luis Suarez

- Minute 11: Uncalled penalty on Javier Mascherano after using his hands inside the box.

- Minute 23: Red card not given to Pique.

- Minute 42: What should have been a second yellow for Gerard Pique turned into Edinson Cavani being booked.

- Minute 45: Three and a half minutes of added time.

- Minute 48: Non-existent penalty on Neymar, who deliberately seeks contact.

- Minute 54: Neymar simulates a penalty again. A card was not issued.

- Minute 64: Act of aggression by Neymar, who deserved to be sent off.

- Minute 78: Hand-ball by Pique inside the box. Not called.

- Minute 85: Uncalled penalty on Mascherano for taking down Angel Di Maria inside the box.

- Minute 89: Blatant dive by Suarez that somehow earned a penalty.

- Minute 90: Five minutes of added time (or until Barcelona score)

- Minute 92: Suarez deserved to be shown a second yellow card for simulating a penalty.
 
Uzuri wa FIFA ni kwamba, mechi ikichezwa huwa hairudiwi kizembe. Ni Game nyingi mno refa huwa anaweza akaleta maamuzi mabovu na bado mechi hazirudiwi.

Nani anamkumbuka Web na Man U? Game ngapi zilirudiwa kisa Web kaibeba Man U?

PSG wanatafuta namna ya kutuliza mashabiki wao tu, Game wenyewe waliiharibu. Sababu .....

1. Waliona ushindi wa bao 4 - 0 ni mkubwa sana hivyo wakajiamini kupita kiasi,ukiangalia kipindi cha kwanza alimruhusu sana Barca acheze mpira, na akafungwa goal 2 kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili mwanzoni alipofunguka akapta bao, akajiaminisha ya kwamba amepita. Akaamua apark tena bus.

2. Penalty zote ni halali, Ile ya Neymar yule mchezaji alitumia akili kubwa sana kumuangusha Neymar na inahitaji refa mzuri kumng'anua dhamira ya yule mchezaji. Neymar alikuwa ameshampita tayari, yule mchezaji akaamua kujiangusha sehemu ambayo anajua ni lazima atamkuta Neymar. Na refa alipotazama kuanguka kwa yule mchezaji akajua tu kuwa huyu hajajikwaa bali amejiangusha kwa style ile. Hauwezi ukajikwaa halafu ukaenda kwa style ile (waliocheza mpira watathibitisha hili).

3. Neymar alikuwa on form, bahati mbaya waliyokuwa nayo PSG siku ile ni Neymar kuwa ktk kiwango cha hali ya juu. Ile beki namba 2 ya PsG Neymar alikuwa anaigeuza anavyotaka yeye, yaani kama LISSU anavyowageuza Mawakili wa Serikali anavyotaka.


Ile ya Mascherano kama ni Penaltt, Je tusemeje Free Kick ya Messi ambayo wachezaji wa PSG waliinua mikono kabisa na mpira kwenda kuwagonga mikononi?

Tazama Video vyema utaona Suarez aligongwa mapajani ili kumpunguza kasi asikutane na kipa kwenye kuwania mpira, kumbuka ata Goli la kwanza ni Suarez ndo aligombania mpira na kipa na Suarez akafunga.

PSG wanatafuta sababu zisizo na maana kwa mashabiki wao na wanajua kabisa mechi ikichezwa na matokeo yakapangwa MECHI HAIWEZI RUDIWA la Sivyo tungeona El Classico nyingo mno zikirudiwa.
 
Ha ha ha kama ni rufaa wangekata Chelsea. Ilikuwa ni Chelsea v Barcelona pale stanford bridge ambapo Andres Iniesta anaipa Barca goli la ushindi.
Kweli mkuu, hii game nililia kabisa yaani...tulionewa sana
 
Hakuna sheria hiyo katika sheria za mpira wala kanuni za mpira kinachofanyika refa akikosea au akiwa maamuzi yake hayakwenda sawa yeye huweza kufungiwa au kushushwa daraja la kuchezesha lakini si mechi irudiwe thubutu yao
 
Uzuri wa FIFA ni kwamba, mechi ikichezwa huwa hairudiwi kizembe. Ni Game nyingi mno refa huwa anaweza akaleta maamuzi mabovu na bado mechi hazirudiwi.

Nani anamkumbuka Web na Man U? Game ngapi zilirudiwa kisa Web kaibeba Man U?

PSG wanatafuta namna ya kutuliza mashabiki wao tu, Game wenyewe waliiharibu. Sababu .....

1. Waliona ushindi wa bao 4 - 0 ni mkubwa sana hivyo wakajiamini kupita kiasi,ukiangalia kipindi cha kwanza alimruhusu sana Barca acheze mpira, na akafungwa goal 2 kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili mwanzoni alipofunguka akapta bao, akajiaminisha ya kwamba amepita. Akaamua apark tena bus.

2. Penalty zote ni halali, Ile ya Neymar yule mchezaji alitumia akili kubwa sana kumuangusha Neymar na inahitaji refa mzuri kumng'anua dhamira ya yule mchezaji. Neymar alikuwa ameshampita tayari, yule mchezaji akaamua kujiangusha sehemu ambayo anajua ni lazima atamkuta Neymar. Na refa alipotazama kuanguka kwa yule mchezaji akajua tu kuwa huyu hajajikwaa bali amejiangusha kwa style ile. Hauwezi ukajikwaa halafu ukaenda kwa style ile (waliocheza mpira watathibitisha hili).

3. Neymar alikuwa on form, bahati mbaya waliyokuwa nayo PSG siku ile ni Neymar kuwa ktk kiwango cha hali ya juu. Ile beki namba 2 ya PsG Neymar alikuwa anaigeuza anavyotaka yeye, yaani kama LISSU anavyowageuza Mawakili wa Serikali anavyotaka.


Ile ya Mascherano kama ni Penaltt, Je tusemeje Free Kick ya Messi ambayo wachezaji wa PSG waliinua mikono kabisa na mpira kwenda kuwagonga mikononi?

Tazama Video vyema utaona Suarez aligongwa mapajani ili kumpunguza kasi asikutane na kipa kwenye kuwania mpira, kumbuka ata Goli la kwanza ni Suarez ndo aligombania mpira na kipa na Suarez akafunga.

PSG wanatafuta sababu zisizo na maana kwa mashabiki wao na wanajua kabisa mechi ikichezwa na matokeo yakapangwa MECHI HAIWEZI RUDIWA la Sivyo tungeona El Classico nyingo mno zikirudiwa.
Fact mkuu na mimi napigilia msumari ni ngumu machi hii kurudiwa na alieanzisha mjadala huu ni mwandishi flani wa habari mhispaniola shabiki wa kutupwa wa madrid na keshokutwa droo inachezeshwa tuone kama barca hatutaenda robo Fainali
 
Kuonekana kuonewa ndo radha ya mpira wenyewe!! Kama kwenye game za mchangani marefa huwa wanadundwa sababu za maamuzi mabovu sumbuse hii ya UEFA. Kama hawakumdunda refa wakati wakiwa uwanjani, basi watulie wajipange upya, tajiri naye atoe minoti zaidi!!
 
Fact mkuu na mimi napigilia msumari ni ngumu machi hii kurudiwa na alieanzisha mjadala huu ni mwandishi flani wa habari mhispaniola shabiki wa kutupwa wa madrid na keshokutwa droo inachezeshwa tuone kama barca hatutaenda robo Fainali
Kwani Mkuu unadhani watu hawajui kwamba mechi haiwezi kurudiwa, wanajua sana ila ndo hivyo tu ushabiki wa kijinga.
 
Uzuri wa FIFA ni kwamba, mechi ikichezwa huwa hairudiwi kizembe. Ni Game nyingi mno refa huwa anaweza akaleta maamuzi mabovu na bado mechi hazirudiwi.

Nani anamkumbuka Web na Man U? Game ngapi zilirudiwa kisa Web kaibeba Man U?

PSG wanatafuta namna ya kutuliza mashabiki wao tu, Game wenyewe waliiharibu. Sababu .....

1. Waliona ushindi wa bao 4 - 0 ni mkubwa sana hivyo wakajiamini kupita kiasi,ukiangalia kipindi cha kwanza alimruhusu sana Barca acheze mpira, na akafungwa goal 2 kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili mwanzoni alipofunguka akapta bao, akajiaminisha ya kwamba amepita. Akaamua apark tena bus.

2. Penalty zote ni halali, Ile ya Neymar yule mchezaji alitumia akili kubwa sana kumuangusha Neymar na inahitaji refa mzuri kumng'anua dhamira ya yule mchezaji. Neymar alikuwa ameshampita tayari, yule mchezaji akaamua kujiangusha sehemu ambayo anajua ni lazima atamkuta Neymar. Na refa alipotazama kuanguka kwa yule mchezaji akajua tu kuwa huyu hajajikwaa bali amejiangusha kwa style ile. Hauwezi ukajikwaa halafu ukaenda kwa style ile (waliocheza mpira watathibitisha hili).

3. Neymar alikuwa on form, bahati mbaya waliyokuwa nayo PSG siku ile ni Neymar kuwa ktk kiwango cha hali ya juu. Ile beki namba 2 ya PsG Neymar alikuwa anaigeuza anavyotaka yeye, yaani kama LISSU anavyowageuza Mawakili wa Serikali anavyotaka.


Ile ya Mascherano kama ni Penaltt, Je tusemeje Free Kick ya Messi ambayo wachezaji wa PSG waliinua mikono kabisa na mpira kwenda kuwagonga mikononi?

Tazama Video vyema utaona Suarez aligongwa mapajani ili kumpunguza kasi asikutane na kipa kwenye kuwania mpira, kumbuka ata Goli la kwanza ni Suarez ndo aligombania mpira na kipa na Suarez akafunga.

PSG wanatafuta sababu zisizo na maana kwa mashabiki wao na wanajua kabisa mechi ikichezwa na matokeo yakapangwa MECHI HAIWEZI RUDIWA la Sivyo tungeona El Classico nyingo mno zikirudiwa.
Kweli kabisa,wewe unaujua mpira,PSG wanachekesha kweli,uzembe wao umewaponza wanasingizia mengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom