Timu ikishakuwa na mastaa wengi basi inakuwa sawa sawa na hakuna kitu Chelsea, Bayern, Liverpool wanaweza kubeba tena hili kombe ukizingatia R Madrid na Man U hawapo vyema ila PSG hahahaa hawavuki robo Hawa.
Timu ikishakuwa na mastaa wengi basi inakuwa sawa sawa na hakuna kitu Chelsea, Bayern, Liverpool wanaweza kubeba tena hili kombe ukizingatia R Madrid na Man U hawapo vyema ila PSG hahahaa hawavuki robo Hawa.
Messi angetimkia city pangemfaa zaidi. Psg kila mtu anataka yeye afunge hata kama hayuko sehemu sahihi atalazimisha huku Messi akibaniwa pasi. Ni upumbafu haswaa. Kilichoniuzi pia kocha kampiga sub 😁 kwa style iyo wasahau uefa.
Messi angetimkia city pangemfaa zaidi. Psg kila mtu anataka yeye afunge hata kama hayuko sehemu sahihi atalazimisha huku Messi akibaniwa pasi. Ni upumbafu haswaa. Kilichoniuzi pia kocha kampiga sub 😁 kwa style iyo wasahau uefa.